mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

raha ya mwanaume ni kutoa bana mimi ndivo nilivoumbwa ...napenda mtu anaenipa vijihela vya saluni vishopping vidogodogo nk ...hata kama ninayo anipe tu ...ndo naamini ananipenda
 
Siku nyingine mkikaa kikao waambie waache kutegemea mwili bali akili zao hahaha..
Nimecheka mmoja alikuwa analalamika wazungu walikuwa zamani siku hizi wanatupa elfu tano
yaani kuna watu wameinvest kwenye miili yao tena wengine wake za watu my dear .utashangaa sana dunia hii....
 
Duh kwa style hii - vijana wana haki ya kuto kuoa.
raha ya mwanaume ni kutoa bana mimi ndivo nilivoumbwa ...napenda mtu anaenipa vijihela vya saluni vishopping vidogodogo nk ...hata kama ninayo anipe tu ...ndo naamini ananipenda
 
bora uwaelimishe wenzako, maisha ni struggle no short cut at all!!
 
Duh kwa style hii - vijana wana haki ya kuto kuoa.
acha ubahili maisha ni kujaliana..suppose wewe ni mpenzi wangu nina shida nimefulia naitaji elfu 20 ya kusuka hadi nikakope kwa mashosti? hata wewe ukitaka nakupa bana kama ushirikiano 0 mimi siwezi ...mapenzi ya kitandani tu mie siwezi..mapenzi yanatakiwa yacover kila mahali
 
raha ya mwanaume ni kutoa bana mimi ndivo nilivoumbwa ...napenda mtu anaenipa vijihela vya saluni vishopping vidogodogo nk ...hata kama ninayo anipe tu ...ndo naamini ananipenda

Ohhhh kumbe na wewe SMILE ni yale yale !!!
 
Unjua ss wanawake tunajiongopea sana kuhusu hawa wanzungu kwanza ukiwa nao inahitaji uwe mvumilivu sana tena utakopwa usiku kucha na wiki mnzima then huyooo anajikataa anakuachia email tuu kweli kabisa smile hujakosea then akitudi tena yuko na rafiki yako na atakupita kama hakujuhi vile mapenzi ya kizungu ni noma man.
hongereni kwa ujasilimia mali huo nitakuchek kuhusu vitumbua me ni mpenzi wa vitumbua sana
 
karibu sana mamito ....ule vitumbua wazungu kitu gani?
 
Raha tunapata wote afu mwisho unataka nikupe hela...weeee nani kasema...tutaendelea kukopa...mpaka vibabu vizungu vimekuwa vijanja
 
ni vizuri wanawake wajikite kwenye ujasilimali kuliko kutegemea njia za mkazo, maana hazisadii.
 
Wenyewe waaita kuuza mpini.

 
tatizo wadada wa kitz mkiona wazungu wanawataka basi mnaona mshatoka, atakupa visa ukaishi nae nje au atakujengea salon kukununulia gari, kuna ambao wako hivyo lakini wengi ni matapeli wanawachezea alafu nduki
 
Vitumbua gani? hivyo hivi vitamu au vile vya kuliwa?

ivo vitamu haviliwi?

habari za vitumbua msije mkatusumbua,tatizo hatutotambua kama mmeviumbua. Nisije kujifanya navitambua mkaishia kuniumbua,mimi hupenda vitumbua lakini si hivyo visivyoliwa. Na kama mwauza vitumbua,msisite kunijuza nami nikaja vivumbua.
 
Hapa Mange wa u turn muke ya muzungu anahusika sana hapa.....
 
Mpaka sasa mtoa mada hajatofautisha vitumbua vya mchele vinavyo-expire siku 2 (vya mchele) na hivyo vya
Burundi visivyooza hongereni kwa semina mm naomba mniPM ni shabiki wa pochi manyoya na kitumbua
 
very interesting story vtumbua gan lakin ivyo vya export?
 
very interesting story vtumbugan lakin ivyo vya export?
hujaonaga mkuu mbona kuna chapati za azamu hadi congo? hadi nyanya ...biashara ni chochote sio lazima uuze magari
 
so hvi vitumbua ni chapati tayar kwa kupasha na kula au ni tayar kwa kula kama vile vya tandale kwetu?
 
so hvi vitumbua ni chapati tayar kwa kupasha na kula au ni tayar kwa kula kama vile vya tandale kwetu?
unapasha tu mkuu vina hadi vanila flavour
 
mko juu sana kwa kweli, and shelf life yake ni muda gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…