Mapenzi yalikuwa zamani

Abbassalum

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2016
Posts
338
Reaction score
176
Mapenzi yalikuwa zamani mwanamke unamfata kwao, lkn sio sasa mwanamke unakutana nae bar anakulia vyako, na kukuchuna vizuri, ukimwambia twende ukanipe papuchi, utasikia nipe changu, changu iyo veepe mie changu nilijua samaki...SHIKAMOO MWANAMKE
 
Karibu !! BT uwe great thinker kweli huku sio fb!! Goodluck.
 
Post ya kwanza nimepost kwa kusoma title tu !!

Maoni baada ya content:

Rudi FB
 
Mapenzi yalikuwa zamani mwanamke unamfata kwao, lkn sio sasa mwanamke unakutana nae bar anakulia vyako, na kukuchuna vizuri, ukimwambia twende ukanipe papuchi, utasikia nipe changu, changu iyo veepe mie changu nilijua samaki...SHIKAMOO MWANAMKE
ok think big,lete vitu vya maana tutakupa support
 
iyo picha yako ukifananisha na upupu uliopost sijui kama utaelewena na ma great thinkers
 
Mapenzi yalikuwa zamani mwanamke unamfata kwao, lkn sio sasa mwanamke unakutana nae bar anakulia vyako, na kukuchuna vizuri, ukimwambia twende ukanipe papuchi, utasikia nipe changu, changu iyo veepe mie changu nilijua samaki...SHIKAMOO MWANAMKE
Ulishawahi kuishi na inzi chooni?mbona mawazo yako yanashabiliana na ya inzi mkuu ile kuingia tu tayari umeshachafua hali ya hewa umu.soma ramani kwanza usikurupuke kihivyo
 
Ahsanteni kwa comment zenu wakuu, duniani tumeumbwa kwa kutofautiana, sio lazima tuwe na akili moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…