Abbassalum
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 338
- 176
ok think big,lete vitu vya maana tutakupa supportMapenzi yalikuwa zamani mwanamke unamfata kwao, lkn sio sasa mwanamke unakutana nae bar anakulia vyako, na kukuchuna vizuri, ukimwambia twende ukanipe papuchi, utasikia nipe changu, changu iyo veepe mie changu nilijua samaki...SHIKAMOO MWANAMKE
Ulishawahi kuishi na inzi chooni?mbona mawazo yako yanashabiliana na ya inzi mkuu ile kuingia tu tayari umeshachafua hali ya hewa umu.soma ramani kwanza usikurupuke kihivyoMapenzi yalikuwa zamani mwanamke unamfata kwao, lkn sio sasa mwanamke unakutana nae bar anakulia vyako, na kukuchuna vizuri, ukimwambia twende ukanipe papuchi, utasikia nipe changu, changu iyo veepe mie changu nilijua samaki...SHIKAMOO MWANAMKE
Karibu mkuu..Jisikie upo nyumbaniAhsanteni kwa comment zenu wakuu, duniani tumeumbwa kwa kutofautiana, sio lazima tuwe na akili moja
Tuko pamoja kakaKaribu mkuu..Jisikie upo nyumbani
Shukran mkuu,nimekalibia kakaKaribuuuuu