Mapenzi yameisha ama?????


Sasa mkuu mke alishaizoesha hii tabia ya kupiga pasi halafu ghafla bin vuuu inatoweka si inabidi ujiulize:becky::becky:
Mzee kama unakumbuka kuna sehemu nilishawahi sema pia mie nina kipenda roho cha kufua masoksi ya nanii .......... makufuli:becky:
 

sasa hapo maty si hata kwenye unyumba huyo mama anamsumbua sana huyo mwanaume suruali (kama unavyomuita) unakuwa unaamrishwa tu!we imetosha.............,geuka huku.........,usiniguse/usinishike n.k.?
 

kama wafanya yote haya nakupongeza na mkeo ana bahati sana kuolewa nawe!
 
I put bold on ur words.
 
Sasa mkuu mke alishaizoesha hii tabia ya kupiga pasi halafu ghafla bin vuuu inatoweka si inabidi ujiulize:becky::becky:
Mzee kama unakumbuka kuna sehemu nilishawahi sema pia mie nina kipenda roho cha kufua masoksi ya nanii .......... makufuli:becky:

Hapo mkuu kama ameacha ghafla tuu basi kuna kitu, si bure, jamaa akae chini na wife wake amuulize. Sometimes hawa wenzetu utakuta kanuna tuu hata wiki hakuambii ni nini kinaendelea so jamaa anatakiwa amtoe out ampeleke favourite place anayopenda huyo mama akiridhika atasema nini kinamkera
 
Niko single ila natafuta mchumba nina watoto watatu kila mtu na baba yake

safi kabisa,kumbe ndo maana unapigana kutafuta ''mwanaume ambaye sio suruali ''ili akutunzie hao watoto!keep it up!
 
sasa hapo maty si hata kwenye unyumba huyo mama anamsumbua sana huyo mwanaume suruali (kama unavyomuita) unakuwa unaamrishwa tu!we imetosha.............,geuka huku.........,usiniguse/usinishike n.k.?

Habari ndio hiyo, inabidi achangamke atetee uanaume wake
 
kama wafanya yote haya nakupongeza na mkeo ana bahati sana kuolewa nawe!


Yap anajua hilo na ni vitu ambavyo ni vya dakika chache tuu haviitaji muda mrefu kuvifanya lkn impact yake ktk ndoa ni kubwa
 
Wewe huwa unampigia mmeo:becky::becky:

hapana na thats from day one hatujazoeshana hivyo, namfulia nampikia thats me! lakini vikazi vidogo anajitegemea na hajawahi kuniambia nimpigie pasi
 
 
Yap anajua hilo na ni vitu ambavyo ni vya dakika chache tuu haviitaji muda mrefu kuvifanya lkn impact yake ktk ndoa ni kubwa

ni kweli vina impact kubwa ktk ndoa, mwanmke anajisikia anapendwa wakati wote
 
hapana na thats from day one hatujazoeshana hivyo, namfulia nampikia thats me! lakini vikazi vidogo anajitegemea na hajawahi kuniambia nimpigie pasi

Anabadilisha na nepi za watoto:violin:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…