Pedrz
Member
- Apr 2, 2021
- 89
- 116
Wana ndugu Habari za muda huu, naombeni ushauri wenu wakati kama huu naona mtanisaidia kwa mawazo pia
Na Mpenzi wangu tulipendana sana na penzi letu sasa hivi lina kama miaka 4 Na kama hakuna shida yeyote iliyotupata tukashindwa kuitatua na mapenzi kuendelea lakini hii ya sahv naona imekuwa serious sasa
Mwenzangu kwao ni lastborn na mm ni firstborn kwahyo matatizo kidogo tu yakitokea kwenye mahusiano yetu anayapeleka home nimeshamkanya lakin hataki kunielewa na ameahidi kubadilika lakini sioni hayo mabadiliko.
Nakumbuka tukiwa mwaka wa 2 wa mahusiano yetu aliwahi kuniaga anaenda kwa dada ake lakini alivyorudi home alikua kabadilika wakunijibu short mpaka nilipogundua alikua akichart na mwanaume mwingine, kiukweli niliumia sana na nilitaka tuachane ila nilimsamehe na kuahidi kubadilika na kweli niliona juhudi zake za kubadilika na penzi likazidi
Mwaka wa tatu sasa wa mahusiano yetu kwao wananijua na mimi kwetu anafahamika, tulibahatika kuwa na duka lakini halikukizi mahitaji yetu ndipo nilipomwambia mpenzi maisha sahv ni magum acha nitafute kazi na kweli Mungu alinisaidia na kupata kazi mkoani na ndipo niliamua kufunga lile duka na kukaa nae mkoani
Ila hapa ndipo alipokuja na wazo na kuniambia mpenzi sasa nataka kubeba mimba basi tulipima vipimo vya awali na kujua hana ujauzito wowote na nilimpatia ujauzito na safari ya ujauzito ikaanza rasmi
Hapa ndipo shida ilipoanzia nikichelewa kufika home basi itakua ni ugomvi siku nzima na kununa, tuligombana sana kiasi akaomba aende home akapunzike kidogo nilimpa ruhusa akaenda home
Alivyorudi maisha yakaendelea ila shida zikarudi tena kila binti wa kazini niliyeongea nae kwake ilikua tatizo nilimwelezea lakini hakutaka kunielewa alikesha kushinda na simu yangu na kufuta namba za wafanyakazi wenzangu wote wa kike nilimvumilia nikajua nimabadiliko ya ujauzito
Kuna siku alinikwaza alivyomtafuta mfanyakazi mwenzangu akijua labda ni mpenzi wangu na kumwambia maneno mabaya niliumia nakuona aibu gani hii nilimgombeza alikasirika na kuria sana nilimwomba msamaha akuelewa alimwambia dada ake na dada ake alivyonitafuta hakutaka story na mimi zaidi ya kunigombeza na maneno yasiyo na stara hata kidogo niliumia nikamfata mpenzi wangu nikamwelezea situation yote na jinsi dada ake akuniheshimu aliniomba msamaha na mimi nilimsamehe maisha yakaendelea ila alichoniambia anataka kuondoka home na anahisi simpendi tena na yeye anaona hanipendi nilimwambia ni hali ya ujauzito tu utakuwa sawa akaelewa na maisha yakaendelea
Shida kubwa inakuja hapa nilipata mwaliko kazini wa mama mtu mzima tu kwake na alitualika watatu nikamshilikisha mpenzi wangu ila alikataa nikamwambia haina shida
Sasa jambo hili halikufanikiwa maana mama alijipanga kwake na kuomba ruhusa hata kazini ili tufike kwake kumsalimia niliona sio vibaya na ntaonekana mtu wa ajabu nikaongozana na wenzangu tukaenda ila sikumwambia mpenzi wangu muda natoka sikutaka kumficha maana kama angejua badae angeumia zaidi nilimwambia nilienda kwenye ule ugeni
Alikasirika sana sikutegemea kama angebadilika hvyo alinitukana maneno mabaya ambayo ajawahi kuniambia na akakusanya vitu vyake na anataka kuondoka kwenda kwa dada ake na hataki kujuana na mimi tena wala nisimtafute yeye na mtoto tena, nashindwa kuelewa kama hili kosa ndo limepelekea haya yote na akiwa amebakiza mwezi kujifungua anataka kuniacha nashindwa kuelewa shida ni nini naombeni mawazo yenu.
Na Mpenzi wangu tulipendana sana na penzi letu sasa hivi lina kama miaka 4 Na kama hakuna shida yeyote iliyotupata tukashindwa kuitatua na mapenzi kuendelea lakini hii ya sahv naona imekuwa serious sasa
Mwenzangu kwao ni lastborn na mm ni firstborn kwahyo matatizo kidogo tu yakitokea kwenye mahusiano yetu anayapeleka home nimeshamkanya lakin hataki kunielewa na ameahidi kubadilika lakini sioni hayo mabadiliko.
Nakumbuka tukiwa mwaka wa 2 wa mahusiano yetu aliwahi kuniaga anaenda kwa dada ake lakini alivyorudi home alikua kabadilika wakunijibu short mpaka nilipogundua alikua akichart na mwanaume mwingine, kiukweli niliumia sana na nilitaka tuachane ila nilimsamehe na kuahidi kubadilika na kweli niliona juhudi zake za kubadilika na penzi likazidi
Mwaka wa tatu sasa wa mahusiano yetu kwao wananijua na mimi kwetu anafahamika, tulibahatika kuwa na duka lakini halikukizi mahitaji yetu ndipo nilipomwambia mpenzi maisha sahv ni magum acha nitafute kazi na kweli Mungu alinisaidia na kupata kazi mkoani na ndipo niliamua kufunga lile duka na kukaa nae mkoani
Ila hapa ndipo alipokuja na wazo na kuniambia mpenzi sasa nataka kubeba mimba basi tulipima vipimo vya awali na kujua hana ujauzito wowote na nilimpatia ujauzito na safari ya ujauzito ikaanza rasmi
Hapa ndipo shida ilipoanzia nikichelewa kufika home basi itakua ni ugomvi siku nzima na kununa, tuligombana sana kiasi akaomba aende home akapunzike kidogo nilimpa ruhusa akaenda home
Alivyorudi maisha yakaendelea ila shida zikarudi tena kila binti wa kazini niliyeongea nae kwake ilikua tatizo nilimwelezea lakini hakutaka kunielewa alikesha kushinda na simu yangu na kufuta namba za wafanyakazi wenzangu wote wa kike nilimvumilia nikajua nimabadiliko ya ujauzito
Kuna siku alinikwaza alivyomtafuta mfanyakazi mwenzangu akijua labda ni mpenzi wangu na kumwambia maneno mabaya niliumia nakuona aibu gani hii nilimgombeza alikasirika na kuria sana nilimwomba msamaha akuelewa alimwambia dada ake na dada ake alivyonitafuta hakutaka story na mimi zaidi ya kunigombeza na maneno yasiyo na stara hata kidogo niliumia nikamfata mpenzi wangu nikamwelezea situation yote na jinsi dada ake akuniheshimu aliniomba msamaha na mimi nilimsamehe maisha yakaendelea ila alichoniambia anataka kuondoka home na anahisi simpendi tena na yeye anaona hanipendi nilimwambia ni hali ya ujauzito tu utakuwa sawa akaelewa na maisha yakaendelea
Shida kubwa inakuja hapa nilipata mwaliko kazini wa mama mtu mzima tu kwake na alitualika watatu nikamshilikisha mpenzi wangu ila alikataa nikamwambia haina shida
Sasa jambo hili halikufanikiwa maana mama alijipanga kwake na kuomba ruhusa hata kazini ili tufike kwake kumsalimia niliona sio vibaya na ntaonekana mtu wa ajabu nikaongozana na wenzangu tukaenda ila sikumwambia mpenzi wangu muda natoka sikutaka kumficha maana kama angejua badae angeumia zaidi nilimwambia nilienda kwenye ule ugeni
Alikasirika sana sikutegemea kama angebadilika hvyo alinitukana maneno mabaya ambayo ajawahi kuniambia na akakusanya vitu vyake na anataka kuondoka kwenda kwa dada ake na hataki kujuana na mimi tena wala nisimtafute yeye na mtoto tena, nashindwa kuelewa kama hili kosa ndo limepelekea haya yote na akiwa amebakiza mwezi kujifungua anataka kuniacha nashindwa kuelewa shida ni nini naombeni mawazo yenu.