Mapenzi yameisha au nimekosea nini?

Afrika na Tanzania kuna shida sana watu vichwani.

Miaka miine( 4yrs) kwenye mahusiano bado mnakimbizana kwa wazazi kusuluhisha?

You two none can value time. Mnasibiri miaka ikatike mje kutuletea nyimbo za Kataa Ndoa na wengine single maza?
Umeona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…