Mapenzi yamenipoteza!

kilalabuyaga

Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Wanajf nimekuwa sijihusishi na mapenzi kwa muda wa miaka saba sasa,si kwa kupenda ila kutokana na machungu niliyo yapata.kwanza mpenzi wangu wa kwanza niliahidiana kufika naye mbali kimahusiano nilipoenda a-level nikakuta ameabort mimba ya mtu mwingine akanichiti nami nikashit.nilipata wa pili nikiwa naenda chuo tukaahidiana kuoana and ofcoarse tulipendana sana but alinipigia cm anaolewa na akaomba radhi kwa hilo.alternatively napiga musterbt ndio nimepotea or what the hell is this?iloved those girls!
 
Wee mbona cha mtoto?tukikuhadithia wengine utajiona una bahati sana
 
sasa, makosa walofanya wao yakufanye wewe upoteze direction ya maisha ya kimahusiano kabisa?
 
Nmejikuta nacheka c kwa tatizo lako bali kwa comments za watu!
Pole sana,mwombe Mungu na kuwa na imani,utapata tu wako wth whom u'l live Happily ever After... Ok?
 
duh bwana wee kweli nouma
tulizana utapata waukweli.....kuwa makini lakini maana wanwake nao usanii wanajua
 
Hakunaga girl wa ukweli now wote ni vigeu geu tu.
Ndo mana wadau wengi huwa wanawamega tu.

Mim mwenyewe na hasira nao sana tena wakae na wanipitie mbali kabisaaaaaa.

Nyeto haina dili mkuu utakuja pata girl wa ukweli na mwaminifu na ukashindwa kupiga mechi kunako samweli sita.
 
kitu cha komesha...!au mbuni...!

ila serious mnaodhan kwamba hayo mahusiano labda ni kitu kizuri cha kukimbilia nawahurumia sana...!
 
acha kujiendekeza maisha ni furaha ,starehe na upendo ....na siyo kila mwanamke ukimpata unawaza kuoa ,piga bata achana na hayo maIZIDINGO yako unapotea.
 
chanzo tu cha kutafuta mademu humu aonekane yuko single.haya mkuu kaz njema.
 
Mdau
Kichwa chako jaza ideas za kuongeza elimu, if u hav bachelor go for masters.....
Pia jaza kichwani mipango ya hela.. If u hav 3milioni waza jinsi ya kuzalisha iwe 20 mil,


Madem wanataka raha, jichange mambo yakiwa mng'ao huyu TEAMO atakuja kukugongea hodi..
 
Duh..kwa hiyo ukipita kiwanda cha sabuni unainamisha macho make unaogopa kukutana na mama wakwe zako..
 
Hayo madogo mno wala huna haja ya kuumiza kichwa,ningekua mimi nikilala tu nikiamka nishasahau kama kuna ishu hiyo.Usimuweke mwanamke moyoni hasa kwa umri kama wako utakufa kabla ya siku zako,utastukia moyo umepiga paaaaa! kwishney.We kamata dagaa piga sepa zako maisha yanaendelea
 
nimependa approach ya mpenzi wako wa pili... very civilized; unampiga mtu chini kwa kumwomba radhi and all that jazz then kila mtu anaendelea na maisha yake
 
na wewe mbona mchezo wa baba na mama uliuanza mkiwa watoto?
halafu ulitegemea nini?
wewe uende shule yeye alee mimba?
ingawa si-support hilo shukuru hukuishia jela...

alamsiki . . . . .
 

Sasa mdogo wangu wawili tu umekata tamaa be strong!. Unajua ulipoanza mahusiano ya mwanzo ulikuwa bado Sekondari mara nyingi mahusiano hayo ni machache mno yanayozaa ndoa so you are not exceptional. Mara ya pili wakati unaanza Chuo sasa huyo akaolewa hapa pia ni suala la boyfriend na girlfriend ukumbuke bado ulikuwa Chuo ndio unaanza ungehitaji miaka takriban umalize Chuo kisha uanze kazi ukijajiimarisha ndio UOE sasa si rahisi kwa kina dada kusubiri miaka yote hiyo ingawa wapo wachache na pia hana uhakika na wewe kama utatimiza ahadi sasa anapojitokeza mtu serious kutaka kuoa wengi hukubali hasa kutokana na ushawishi ndani ya familia.

Ushauri wangu: Mahusiano yaliyopita yachukulie kuwa yalikuwa ya utoto. Pili hiyo kitu (ponyeto) achana nayo sio suluhisho kwani baadae utataka uwe na familia na hiyo akisaidii. Tatu jipange kwa ajili ya ndoa kisha tafuta mchumba kwa mujibu wa vigezo vyako. Nafikiri haya yatakusaidia.
 
kama wewe hujawah pata wa ukwel usidanganye na wenziooo, kuna watu na bahat zao bana we vp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…