Mapenzi yamenipoteza!


Ushauri mzuri sana, naimani wengi sana utawasaidia na kuwatia moyo...
 
we endelea kujipuruchuaaa huku ukitafuta mwenzi taratibu..ila kam abado upo chuo pig abuku wasikuzingue hao viumbe...hii ikufanye uwe mkomavu wa akili na mwili...relation sio legelege na uwe nayo when ur serious!!

ilo suala la nyeto achana na hao waosha vinywa hamna ambaye hajawahi au haendelei kuifanya..jinsia zote wanafanya...!!fanya kwa kiasi...maana utajaenda konabaa bure ule urojo tupoteze nguvu kazi na kodi zetu.no!!
 
Shida yako moja tu, unakaa na mademu na huoi,,,jipange ukimpata tangaza ndoa na fanya kweli fasta, vinginevyo kila siku utakuwa unanyanganywa na washkaji wanaoa
 
Wazuri bado hawajazaliwa... Tuliza MOYO.... Acha kupiga PULI,,,, Utampata wa kufanana na wewe...
 

Hapo kwenye bold hapo, ivi unayakumbuka matapishi ya nini? Hee, wenzio tulitendwa tukasahau matapishi, now tunakula bata na wapenzi wanaojua kupenda na tunajiuliza tulichelewa wapi siku zote na yale MATAPISHI? Forget about hao wadada, na soon utampata mpenzi wa kweli.
 
Ngono salama masterbt hongera kaka
 

Hapo kwny RED naona kama vile umemchanganya?
 
pole xana kijana,usikate tamaa,wote ulikua utoto utampata tu wandoa.muombe mungu
 
Daaaah ckupatii picha jibaba ukiwa unajiChuaaaGa... Kama ng'ombe anakamuliwa maziwa vile, a very fine handwork...
 

Ushauri wako mzuri sana mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…