Mapenzi yamesababisha urafiki wetu uvunjike

Umekosa cha kuandika shem? Au wataka namba ya simu? Ha ha ha ha ha ha ha ha.
 
Umemchukua mpenzi wang,umemzalisha na bado uko nae?lengo lako nini?unaniomba msamaha ili iweje?au unataka unizoee tena na huyu niliye nae umchukue?unadhan nitakapoona ww pamoja na Anna nitajisikiaje?siwez kukusamehe,siwez kukuamin.unazid kunipa uchungu.msijaribu kunitafuta nitawatafuna masikio yenu(in john voice)
 
Nashukuru mkuu umeelewa lengo langu ni kuomba msamaha.
Mimi sikulaumu kwa ulichofanya lakini there is no point ya kuomba msamaha.... Hapo ni kama unamkoga tu John. Potezea endeleeni na maisha yenu na Anna maana nyote wawili John hakuwa moyoni mwenu otherwise msingefanya mliofanya.
 
Nina mashaka makubwa sana na muendelezo wa maisha yenu ww na huyo Anna wakuiba huyo
 
It's not fair kwa mlichokifanya kwa nafas ya kwanza, lkn pia kwa sehemu nyingine kosa kubwa zaid ni kwa mwanamke, hakuwa wazi kwa mpenzi wake kwani inaonekana hakuwa anapenda pombe, yote kwa yote maji yamemwagika hayazoleki, tumieni marafiki zenu na wazazi au wazee kama mnao kupatana na kurejesha urafiki wenu maana maisha lazima yaendelee, muombe pia Mungu amsaidie mwenzenu apate aliyeumbiwa na Mungu kwani huyu ni wazi hakuwa wakwake japo ukweli huu kwa sasa ni mchungu kwake, mpeni muda pia kwani bado ni mapema, litakwisha.
 
Huu uzi unatia hasira,bora ungekaa kimya tu hapa umekuja washa moto uliokwisha zimika bila busara za hali ya juu hautauzima
 
mbona sijaona shida katika hili, wala john hana haja ya kunoa kisu sijui shoka ye atulie atawalipa kwa staili sawa na wao.

ilinitokea mwanamke wangu akachukuliwa na rafiki na kuzaa nae kama ivi ivi sikuwahi sema chochote huku huyu rafiki akijitetea kwamba yeye ndo alianza kumtongoza.

nikaingia kazini na mimi, nikamtongoza mdogo wa rafiki aliemtia mimba demu wangu nikamtia mimba na mimi.sikuishia hapo nikamtafuta dada wa demu wangu nae nikatia mimba, watajua wataitanaje hao watoto.

hapa niko taratibu nanyatia siku za hatari yele x wangu nae nimtie mimba.(mechi za mchangani zinaendelea)

john fanya kulipa kisasi wote tu shee maumivu,maana nakumbuka baada ya mdg wa mdogo wa rafiki yangu kujifungua na kuambiwa mtoto wangu alilalamika sana hadi kunitumia meseji (hatukuwahi kuwasilina 2yrs) akilaumu

kisasi ni lazima mambo ya kusamehe ni utoto
 
Hili jambo limewahi kunipata kwa rafiki yangu tangu tuko darasa la 3, akaja kuuvunja urafiki(undugu i can saying) rasmi mwaka 2013. Jamaa ulichomfanyia rafiki yako ningekushauri tu usije ukakaa nae karibu, muache tu na maisha yake
 
daaah demu wko kuliwa na rafiki yko inaumaa sana tena sana na kusahau ni ngumu me ilishanitokea inaelekea mwaka wa 4 sijasahau yale maumivu
 
Kwel we jamaa mnafiki sana, ila tambua kama aliweza kumsalit jamaa yake IPO siku atakusalit pia
 
Pole sana uliyechukuliwa mpenz,hii ni kawaida sana nafikiri haikupangwa muishi pamoja.Kwa aliyechukua mpenzi wako Anna hongera maisha lazima yaendelee ni kawaida kabisa marafiki kuchukuliana mpenzi lakini sio mke.
 
Mkuu naona utaki kuruka ata jino moja[emoji1] [emoji1]
 
We jamaa una upungufu kichwani siyo bure aisee alaf naona wanawake umewajulia ukubwani, ur not gentleman
 
Mapenzi ni kama mpira wa miguu, usipopigiwa pasi, unaenda mwenyewe kunyang'anya mpira... Ukizembea kila siku atakuwa anashangiliwa Ronaldo tu... Hongera kwa kupata mpenzi... Mapenzi ni uselfish...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…