Mapenzi yamesababisha urafiki wetu uvunjike

Aiseeee jiandae kutokewa na yaliyomtokea mwenzio, kama aliweza kukutongoza mbele ya mpenzi wake ujue the same itatoke siku moja, itatokea siku moja nakuapia, na utamia kama jama aalivyoumia na pengine utaumia zaidi maana huyo Anna atakua na mwanao, kama kweli ni mwanao
 
Duuuh, we jamaa Mungu gani anaruhusu watu kuzini, mleta mada bado hajaoa kwa maelezo yake, hii vita ni shetani kwa shetani, shortly jamaa kazingua
 
duh namwonea huruma rafiki yako aisee ...........kuna mambo mawili kweli alikupenda na hata kufanyia kama alivyomfanyia rafikio .. au na wewe akimpata wa kukuzidi atakukimbia ...
ombeni msamaha ila kumla inawezekana pia
 
Smart911 sweetheart Mwanaume wa kweli haibiwi

You know vile unanimarrliza eeeeeh!!!
Hata mwanamke mwenye msimamo haangaiki ovyo huku na huko... Hapo mwanamke hana msimamo kabisa, na jamaa anaweza fanyiwa same kwa sababu ni kama tabia yake...

Vitu vinavyoleta chuki duniani ni, Pesa na mapenzi...


Ndiyo maana mara zingine i do what a man gat to do kwa mahondaw wangu...
 
Kwa hiyo unatakaJohn akusamehe ili umgongee na mwanamke mpya atakayekua nae hilo LA kutokutaka kuonana na wewe ni msamaha tosha unless hata angetumia msumeno kukuhasi maana ndo msamaha pekee ambao Mimi ningeutoa kwako ili siku nyingine ukitambulishwa shemeji zako uombe na Zawadi ya sidiria kabisa
 
acha bana unatesa watoto mkuu acha bana
 
Wee jamaa FISI MKUBWA sana umekula shemejio??? mtu hatari sana.
 
Kuna wakati unaweza kuwa na mtu ilimradi tu, alafu akatokea yule mtu wa ndoto zako sasa, inakuwa haina jinsi, life isnt fair just like that. Wakati mwingine inabidi tuelewe tu japo ngumu kumesa.
 
acha bana unatesa watoto mkuu acha bana
wateseke na nini tena, watoto wote nawahudumia na hata nkishindwa hawa wasaliti watahudumia maana nimepiga kwenye familia zao.

kubwa zaidi ukoo wetu tuko wachache wacha niongeze vijana asee
 
wateseke na nini tena, watoto wote nawahudumia na hata nkishindwa hawa wasaliti watahudumia maana nimepiga kwenye familia zao.

kubwa zaidi ukoo wetu tuko wachache wacha niongeze vijana asee
wanakosa mapenzi ya baba yao.. mkuu sijui ni kiasi gani uliumizwa lakini nakushauri bora uwatie tu uwavuruge utakavyo ila usiwatie mimba viumbe hivyo wanataka kuita baba mapenzi ya baba plz kama mwanamke na pia mama naomba badilisha adhabu please.... na uhakika hata hao unaowazalisha wakijua ni part ya adhabu hawatakuwa na mapenzi na watoto wale ya kweli... ushapata wawili inatosha mkuu ni ombi tu badilisha adhabu
 
mmh, unamuomba msamaha au una brag? tupishe sie
 
Ndiyo maana mimi sikuachi na rafiki yangu hata kwa dakika moja... Hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke... Ukaribu hujenga mazoea... Mazoea huanzisha safari haramu...

Smart911 cc Mahondaw hahaha
I was just reminding you nakuona nakuona tu
 
Kama Anna alikupenda Kwa kuwa mpole mtaratibu na hunywi pombe atatokea mwingine zaidi yako atampenda pia.


Ila uliharibu toka mwanzo aisee kuchukua namba ya shemeji yako na kuruhusu akuzoe kupita kiasi
 
Unapotongoza msichana hadi unafikia kukubaliwa ujue kuna mtu anaachwa taratibu
Hiyo ndio principal ya mapenz kwhyo relax tu
Hata John saiz atakuwa kashapata mwingine ambaye bond imevunjika somewhere
 
Mkuu tayari umeshaingia kwenye lile kundi maarufu la wasaliti , kiongozi wenu ni Yuda Eskarioti!
 
Huu unaofanya hapa ni unafiki, wa kumkandamiza huyo mwanamke uliyemwiba (kuonesha kosa ni lake ilihali ulikubali kutumia nawe kitanda maana yake mna makosa nyote) ili upatane na rafiki yako kirahisi. Mwisho wa siku unamrejea Mwanamke(yule uliyembebesha lawama, najua hutosema zigo ulilomtwisha ili usamehewe) na kumwambia maneno mengine mnapoenda kutaka kusamehewa, ili mwenzako aonekane mjinga.

NIMEAMINI RAFIKI WA KWELI NI YULE ANAYEKUTHAMINI NA KUKUHESHIMU NA SI KUKUA PAMOJA.


WEWE NI SAWA NA PANYA ANAYEMNG'ATA MWANADAMU ALIYELALA BILA KUOSHA MKONO HUKU ANAMPULIZA ASISIKIE MAUMIVU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…