mapenzi yana msimu?




Hapo hamna haja ya kuongeza mana nahisi haya maneno ni mimi nimeongea....lol
 
Hao walitamaniana wakati wanaanza mahusiano!
 
kwa upande wangu nakubaliana na hili, na mimi naona miezi ya msimu wa mapenzi ni miezi ya mwisho wa mwaka yaani wakumi na moja na mbili, ninavyoona mimi hii inatoka vifuatavyo;
1. kuwepo kwa sikukuu nyingi za kitaifa na za worldwide, zakitaifa- tanganyika independence day 9 december na zanzibar independence day 10 december. na world wide ni x-mas, na new year. hizi sikukuu zinapeleka kuwepo kwa holiday kwa wafanyakazi na wanafunzi na kupelekea watu wengi kuwa free na kujikuta kujikusanya sehemu za starehe na kujkuta kufikiria mapenzi zaid kuliko shughuli nyingine.
2. kuwepo kwa utamaduni wa watu wengi kupenda kufungu ndoa mwisho wa mwaka. hii pia upelekea kuwepo kwa doa nyingi miezi hiyo,hii huamsha hisia za kimapenzi kw watu wasio oa au kuolewa.
3.kuwepo kw vua za vuli mwisho wa mwaka , hii inapelekea kuwepo na hali mzuri ya hewa inayovutia kimapenzi.
hayo ni yangu machache ninayoyaona me kuwa yanapelekea miezi ya mwisho wa mwaka kuwa mzimu wa mapenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…