Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Humu jukwaani hakuna memba aliyewahi kupewa mapenzi haya, zaidi ya mimi tu equation x, kama unabisha nyoosha mkono juu ujifanye unajikuna.
Mapenzi yana raha yake ukimpata mtu sahihi, lakini si hawa wanaogeuza mapenzi kuwa biashara au ajira.
Mimi bado nimelala naendelea kula wkend yangu na mama k.
Kazi kwenu..
Mapenzi yana raha yake ukimpata mtu sahihi, lakini si hawa wanaogeuza mapenzi kuwa biashara au ajira.
Mimi bado nimelala naendelea kula wkend yangu na mama k.
Kazi kwenu..