Dar wote tuna AC ndo maana tunafanya saaanaWakuu.
Nipende kuuliza swali tu.
Hivi kwa hili jua linalosababisha Joto mapenzi yanafanyika kweli ?
I like the sense of humor in this reply 🥰🥰Unaongelea Sala ya Baba yetu ?
Kama Ni hiyo.... YES
Kajiunga jf juzi,ni wale form 4 waliozungusha juzi kaja kupozea machungu huku,sijui kwanini hakuchagua fbMkuu unashusha nyuzi kama mvua. Tangu jana umeanzisha nyuzi zaidi ya 10. Keep it up aisee!
Unasomwa!