Mapenzi yanamtatiza: Tumsaidie huyu Binti.............

Senator p nikikwama kumsaidia kutokana na ushauri nilioupata hapa nitaku-pm uongee naye kwa simu lakini under my supervision Lol!!!
 
Last edited by a moderator:
Taratibu atamsahau huyo wa zamani na kumpenda huyu mpya, haiwezi kutokea right away! Inaweza kuchukua muda kidogo, cha msingi zaidi atulize akili.
 
yaliyomo yamo Good ushauri mzuri. Natumai huyu mdogo wetu atakarabatika nisingependa apotee...Kweli yaliyomo yamo!!
 
Last edited by a moderator:
Taratibu atamsahau huyo wa zamani na kumpenda huyu mpya, haiwezi kutokea right away! Inaweza kuchukua muda kidogo, cha msingi zaidi atulize akili.

Kwa hiyo webondo...........hebu fafanua kama jamaa anampigia pigia simu haiwezi kuwa inamchanganya akili.....Kwa hilo afanyeje?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo webondo...........hebu fafanua kama jamaa anampigia pigia simu haiwezi kuwa inamchanganya akili.....Kwa hilo afanyeje?
Alishaamua kuachana naye, aimamie katika uamuzi huo! Katika maisha ni muhimu sana kusimama imara sio tu katika masuala ya mapenzi. Amwarifu huyo mpenzi wake kuwa "akome kumpigia simu" kwani tayari ana mpenzi mwingine, lakini naye asiwe kigeugeu tena akishafanya hivyo.
 
Kumusahau mtu ni rahisi sana. Usijipe mda wa kufikiria mapenzi. Najua watanzania wengi mawazo yao mengi ni kuhusu mapenzi ndo maana anaona kazi kumuacha huyu mpenzi wake kiwembe. Tazama maisha yako kama mchaga na uwe na uelevu wa kufikiria kama njiwa. Tahadhari huyo aliyekupenda na wewe haumpendi utamuumiza sana akijua.
 

Well said webondo.....nimekumbuka wimbo wa marijani Rajabu:

Siwema usinipe mateso ya moyo
Na sasa nimechoka kweli nasemaa............

(chorus) nimezunguka tanzania bara aah unguja na pemba pia nimefikaa........................

Nitampatia wimbo huu lakini uliorudiwa na Lady Jay dee kwa sababu kizazi cha dot com hakimjui Marijani!!
 
Last edited by a moderator:


Tena akijua anaweza kumuona kama malaya aliyekuwa anampotezea muda........mwisho wake majeraha mawili
 
Haya poa poa! Au hata kamwimbie tu!
 

kaka wewe ni he mbona nahisi ka ndo mpenzi wake mpya af umemshtukia she wako bado anapenda alikotoka# thinking out loud
 
Sio kila wakati tunasimamia moyo....sometimes we have to let our loved ones go. they may love each other but they have nothing in common, hilo ndo tatizo. Atulie with time atamsahau.
 
kaka wewe ni he mbona nahisi ka ndo mpenzi wake mpya af umemshtukia she wako bado anapenda alikotoka# thinking out loud
cmoney Ingekuwa ni mimi ningesema, siogopi screen ya laptop au simu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…