ndetichia unanisinya sana..kwani kuoa wawili kuna issue gani? hamna kosa alilolifanya as long as anaweza kuwamanage wote. after all nani siku hizi anaoa housewife bila shaka wote wanafanya kazi and they will contribute to the familymzee itabidi uwaoe wote ili ujue ulifanya makosa..
Tupo pamoja ndugu zangu,mpaka sasa hakuna ninayeishi naye,kila mtu kwake,na wote wanataka ndoa na mimi niende kwao kujitambulisha rasmi. Kiukweli mawazo yananitesa mpaka naota ndoto mbaya,wazazi wangu hawanielewi kwasababu tangu mtoto nilikuwa mpole na mcha Mungu,wanajuta kwa mimi kusoma wanadhani uhuru uliopo vyuo vikuu ndio umebadili tabia yangu. Kweli najuta.
Ndugu zangu,naombeni ushauri,kweli nakiri nimekosea. Suala langu lipo hivi,mimi nilizaa na mwanamke mmoja japo sikumpenda kwani nilijipa moyo nampenda kumbe ilikuwa si kweli kwani nilikutana naye nikiwa na wawazo mengi kutokana na kuachana na mpenzi wangu wa kabla yake,niliyezaa naye huyu tuna uhusiano wa mwaka na zaidi hivi,akiwa mjamzito nikapata mwanamke niliyempenda kwa dhati,kutokana na ujana nikamvisha pete ya uchumba, naye nipo naye kwenye uhusiano yapata miezi tisa sasa,wote wanajuana na hakuna anayekubali kuachana nami,mwenye mtoto hakubali na mwenye pete anasema hawezi kubaki na pete,ndugu zake na jamaa washajua namuoa. Wote wanataka kutumia nguvu hadi za jadi nisimwache hata mmoja na najua ipo siku mambo yatakuwa makubwa sana na wote wanipenda kwa dhati japo mimi toka moyoni nampenda niliyemvisha pete ila mara zote namfikiria mwanangu ataishije bila baba? naombeni ushauri,mimi ni mkristo siwezi kuoa wake wawili,nipo tayari kurudi kwa mwenye mtoto ili niilee familia yangu ila mwenye pete naye hakubali,nifanyeje ndugu zangu?
jamani Lizzy unataka kutoa RIP? Mzima weye?Vipi...umeshakufa?!
Vipi...umeshakufa?!
Nataka kujua kabla ya kutoa ushauri nisije nikapoteza muda bure!!Mi mzima kabisa mpendwa....vipi wewe?!jamani Lizzy unataka kutoa RIP? Mzima weye?
Naaah...huyu kasema mapenzi ndo yanamuua....alafu nadhani yeye ndo mwanaume kwenye hii movie ya Kanumba inayoenda kwa jina la LOVE IS KILLING ME!Hahahaha alitaka kunywa sumu kwa ajili ya mwanaume??? kweli mapenzi yanaumiza nilikuwa silijui hili
Naaah...huyu kasema "mapenzi ndo yanamuua"....alafu nadhani yeye ndo mwanaume kwenye hii movie ya Kanumba inayoenda kwa jina la LOVE IS KILLING ME!
me niko bien umeona kijana anavyocheza na mioyo ya mabindi.Nataka kujua kabla ya kutoa ushauri nisije nikapoteza muda bure!!Mi mzima kabisa mpendwa....vipi wewe?!
nashukuru sana ndugu yangu,matunzo mpaka sasa napeleka,ila kwa siri kwani kati yao hakuna aneyejua kipato changu halisi kwa mwezi,namudu gharama ila niliyemvisha pete yeye hataki nipeleke matumizi kwa mtoto ila in future yupo tayari kuishi na huyo mtoto bila kipingamizi chochote.
yaNaaah...huyu kasema mapenzi ndo yanamuua....alafu nadhani yeye ndo mwanaume kwenye hii movie ya Kanumba inayoenda kwa jina la LOVE IS KILLING ME!
Nadhani ni Mbongolala!!Huyu Kanumba ni nani? Ni Mnigeria?
ya
yani ukiambiwa kiumbe mwanaume hatabiriki ni kweli kabisa, huku mimba na hampendi kwa dhati, kampata anaempenda kwa dhati na pete juu bado na hajitambui afanyaje, na ukimuuliza kilichomfanya kumvalisha pete haraka haraka hivyo bila kujifikiria mara mbili c2ation aliyonayo utaambiwa historia, pweeehhh, mdada wa pete kakaa mkao wa ndoa, mama wa mtoto kakaa mkao wa ndoa, kazi kweli kwa hawa viumbe.
Nadhani ni Mbongolala!!
hahVipi...umeshakufa?!
Nakwambia...mi ndo maana nachelewa kuchangia maana kama ni uji kakoroga umekua mzito sana na kama alitaka ugali umekua mwepesi sana inabidi aamue kama ale hivyo hivyo au amwage na kuanza upya!yayani ukiambiwa kiumbe mwanaume hatabiriki ni kweli kabisa, huku mimba na hampendi kwa dhati, kampata anaempenda kwa dhati na pete juu bado na hajitambui afanyaje, na ukimuuliza kilichomfanya kumvalisha pete haraka haraka hivyo bila kujifikiria mara mbili c2ation aliyonayo utaambiwa historia, pweeehhh, mdada wa pete kakaa mkao wa ndoa, mama wa mtoto kakaa mkao wa ndoa, kazi kweli kwa hawa viumbe.
Mtu anasoma mchezo anaoonyeshwa na sio halisi ndio tatizo...alafu hawa nao wanachekesha kweli maana ukweli wameshaujua na bado wanamngangania!!Tatizo kubwa la wanawake huwa mnakabidhi mioyo yenu pasipo kusoma mchezo Mi naona bora afe tu