Mapenzi yanapo waunganisha watu wawili na kupelekea mushkeri katika jamii

Hahahahaha..atakua kafanya la muhimu kwa afya yake
Yes maana si kwakuanika tatizo lake la kiafya ya kiakili wazi hivi. Hivi kwa mtu smart upstairs anaweza akaongea kitu kama alichoongea jamaa kweli? Great thinkers wote wanashelfs za vitabu au libraries majumbani mwao. Technolojia imeturahisishia kujua vitu vingi through internet service kiganjani mahali popote utakapokuwa alafu jinga fulani linakuja na kusema tunapoteza muda kujifunza mambo mbalimbali JF😩
 
Hahahahahaha..Mkuu unajua unaweza kujiuliza hayo uliyojiuliza imekuaje ..Yaani kama mtu anatumia JF kama wenyewe wanajinasibu Home of Great Thinkers..basi atajiuliza hawa ndio GT wa Tanzania? Wewe fanya kupoteza muda chambua humu posts na threads ndio utajua nisemacho...iwe michezo,siasa ,mahusiano
 
Hili nilishaliona kitambo mkuu na ndiomana kama mimi binafsi na ukongwe wangu humu huwezi kunikuta kila post au kukoment kwenye nyuzi zisizoeleweka au zenye utoto/ fikra finyu ndani yake.
 
Hili nilishaliona kitambo mkuu na ndiomana kama mimi binafsi na ukongwe wangu humu huwezi kunikuta kila post au kukoment kwenye nyuzi zisizoeleweka au zenye utoto/ fikra finyu ndani yake.
Kumekua na utoto na ujinga mwingi
 
Askari wa Bongo hawanaga kubembeleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…