Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #401
Za kuambiwa changanya na zako, hebu nioneshe tuone πππNa mimi nipo vile vile πΉ
Si nshakuambia nafananaje asa wee hutakiZa kuambiwa changanya na zako, hebu nioneshe tuone πππ
Hebu fanya ka una ji twanga photo, tuoneπSi nshakuambia nafananaje asa wee hutaki
Selfika zipo kapekue kule πΉHebu fanya ka una ji twanga photo, tuoneπ
Sija taka za selfikaπ€π, sawa na utake kumuona marehemu.Selfika zipo kapekue kule πΉ
Hahahahaha..samaki wapi tena hyMakubwa Tresor Mandala Kuna samaki kwenye chambo, Kama uki ridhia tuta mvua.
hahaha, samaki ni neno linako wakilisha kitu kwenye mabano.Hahahahaha..samaki wapi tena hy
Mmmmh hizi code za wapi mkuu ni python au java ?hahaha, samaki ni neno linako wakilisha kitu kwenye mabano.
Uki ridhia tufanye mazungumzo kwenye ulingo, ili kuondoa nzi kwe mzoga.
Hahahaha, Dah nime tumia code nzito ehh.Mmmmh hizi code za wapi mkuu ni python au java ?
Hahahahaha..sasa mie mambo ya ulingoni sio kivile..kama ni code we ziendeleze tu mie nita zidecode wala usihofu mdg mdg huwa hatuna haraka ππHahahaha, Dah nime tumia code nzito ehh.
Ulingo =pm, nzi - watu wasio stahili.
Hahaha, Kama ni hivyo Nashukuru tu mkubwa.Hahahahaha..sasa mie mambo ya ulingoni sio kivile..kama ni code we ziendeleze tu mie nita zidecode wala usihofu mdg mdg huwa hatuna haraka ππ
Hahahahaha..mambo vipi mkuuHahaha, Kama ni hivyo Nashukuru tu mkubwa.
Mambo Safi, Nashukuru uhai upo.Hahahahaha..mambo vipi mkuu
Safi sana km mambo safiMambo Safi, Nashukuru uhai upo.
Uongo mkubwaSi nshakuambia nafananaje asa wee hutaki