[emoji12]Kama hajaolewa unaweza kumrudia
Sikupi pole
Eheee ndo huyoo
Hahahaha.......eti eeeeeeh!!Kaa kwa password wa kienyeji.
Si tulikubaliana unanipea msukuma mwenzio..au imeishia wapi
Hapana me nishaachaga kupenda kitambo tuNa wewe yanakuumiza Chief.
[emoji38][emoji38]kwamba ukiona mambo hayaendi unayaacha unaenda wewe[emoji1787][emoji1787]safi sana
😂 😂 😂Na kitimoto kwa pembeniKwahiyo umeamua kupenda ugali tu sio..🤛🤛
Imetulia hiyoooo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sijambo kabisa hofu kwako....We nae..kwa kupenda kukuza mambo...
Usichukulie laifu siriaz sana
take it easy Chief.
😄😄hujambo lakini..umepotea sana
Wanaweza fufuka ati[emoji23] ili arudi tu kukuumiza tena.Au tuwalipue hao watu na mabomu [emoji2][emoji2]