*Upendo wa kweli ni nini?*
*[emoji117]Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake na kisha kumwambia baby vaa nguo twende nyumbani*
*Kifo ni nini?*
*[emoji117]Kifo ni pale mwanamke anapokubali kwenda nyumbani na mwanaume yule.*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]