Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.
hivi ni kweli hujui ufanyeje au unatusanif tu, ina maana huwezi kumwambia unataka tumwambie? weka namba yake humu watakusaidia kumwambia. ukishindwa yote na wewe mwonyeshe kama unampenda mpe vizawadi vya hapa na pale, mualike mkaangalie movie ili ajue kama na wewe uko na interest naeJf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.
Umeona eee! atoe namba aone wazee wa kazi watavojitumaKama hujui la kumwambia nipe namba yake nikusaidie kumwambia!!!
<br />Alijisemea Dena Amsi, "watoto show"
<br />Utoto mwingi
<br />
<br />
Sisi ni maua tuliyopendwa na mungu mwenyezi....
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.