Mapenzi

Ruba

Member
Joined
May 6, 2011
Posts
5
Reaction score
0
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.
 
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.

We vip? Kama umeshndwa kuusoma mchezo hata ukipelekewa chumbani ni bure! Mwache akikutana na wajanja watampa stahili yake, we umeshdwa!
 
Hivi hili neno NAKUPENDA..
Kwanini watu wana penda
kuliropoka tu ...

We umejuaje kama ye anaogopa kusema NAKUPENDA????? Labda hakupendi...
It's possible...
 
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.
hivi ni kweli hujui ufanyeje au unatusanif tu, ina maana huwezi kumwambia unataka tumwambie? weka namba yake humu watakusaidia kumwambia. ukishindwa yote na wewe mwonyeshe kama unampenda mpe vizawadi vya hapa na pale, mualike mkaangalie movie ili ajue kama na wewe uko na interest nae
 
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.

Alijisemea Dena Amsi, "watoto show"
 
Kama hujui la kumwambia nipe namba yake nikusaidie kumwambia!!!
 
Mi naona ni vice-versa hiyo wewe umejuaje anashindwa kukwambia anakupenda. It's you man...just play the game.
 
Jf nisaidieni kuna dada niko karibu naye lakin ananionye sign za mapenz lakini mm sijamtongoza naye anaogopa kusema nakupenda,sijui nimfanyeje,jf nawategemea.

Endelea kuishi hivyo hivyo kwani tatizo lako ni nini!
 
Mmh vp ni kwel ujui au watusanifu? How do u know anakupenda?
 
wewe ***** nn?ulijuaje anakutaka mwambie aweke namba hapa aone ilimradi awe analipa asisahau na picha yake avae kimini ili wamuone vzuri
 
Duuuh!! cjui Training college ipi wanafundisha kutongoza nikiifaham ntakujulisha na ada ntakulipia ndg ili ukajichukulie hata cheti tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…