Mapenzi

Joined
Jun 10, 2011
Posts
20
Reaction score
0
Waheshimiwa mim mwenzenu sina hisia na jambo la mapenzi kwan walionitenda tayari wanatosha...siju wadau mnasemaje je mpo kama mmau
 
Meckiad mbona Avatar yako inaigomea kabisa maneno ulopost???
 
kweli jamani hivi kwanin mtu unayempenda anakupotezea wakat wewe ndio umekufa ukaoza. je wenzangu jambo hili mnalionaje kwan linaumiza sana mpaka mim huwa nakosa hata tumain la kuwa na mtu ni mpendaye katika maisha ya kila siku ili ikizewekana basi tufunge ndoa na mungu abariki maisha yetu ya kila siku
 
Hivi Unajua kuvunjwa moyo?? Hapo wewe umevunjwa kweli.... Hivi utakua na hamu na vi element vya mapenzi.. Avatar yako inaonesha kabisa uko pande nzuri upande wa mapenzi...
 
Kwa kweli ungekuwa huna haja ya mapenzi na unateseka na mapenzi hiyo avatar ungeiona chungu sana
 
ila ukiwa una moyo baaridi kabisa nayo siyo mbaya lol
 
ndio ukubwa huo,,unadhani ukishampata huyo wa kumuoa ndio hata kuvunja moyo? embu uliza wenye ndoa zao utasema afadhali ya wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…