Mapenzi !

mwambie ajiue tu. Hata akikubaliwa atakuwa msumbufu sana katika maisha na kuendelea kutishia kujiua.
 
haaa haaaaaaa...... mapenzi yanaua lakini sio kwa style ya jamaaa....
 
Ataweza kumpa mamsap hela ya kuweka kalkiti ilihali viraka vinaulizana mwenzangu umekuja lini hapa mjini
 
kisu atachelewa kufa namwambia subiri nakuletea bastola
 
Kujiua sio suluhu, ajiulize kwa nini anakataa.

Hapo Edita amwambie "nakuonea huruma kaka yangu mie tayari nina miwaya!"Sidhani kama ataweza kustahimili majibu hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…