Salumu waliy
Member
- Jul 25, 2013
- 8
- 3
dah! Ma fellow members nna tatzo nna wiki sasa chakula hakipiti sioni cha kufanya wala kushika nlikuwa na mpenzi wangu tunapendana sana yan bt siku ya siku nlimkwaza k2 kdogo sana sasa ndo ikawa sababu hatak kuniona hataki kusikia chchte toka kwangu hata zawdi zangu za sikukuu leo kanigomea kupokea yan i don have anything to do maumivu nliyonayo hayasemeki naombeni ushauri wenu jaman