alikuwa si yeye dear alikuwa ni jamaa mwengine aliekuja posa na ndio ye aliposkia khabari hizo akaanza kubadilika,,,mana lazma askie ni mtoto wa baba angu mkubwa (amy),,
we khaa!!! mbona nywele zako ziko upande mmoja jamani???? si utantisha,,
ndo nini mana ake?????
ndo nini mana ake?????
sitaki mume yeyote roho yangu imegonga kwake na kama imtatokea bahati mbaya basi allah ndie mjuzi wa yote, na ukizingatia yeye ni damu yangu hata tufanyeje itatokea tu siku tutaonana inshallah!!!,,asante kwa ushauri wako mzuri ndugu yangu,,
S,A,,, ndugu na jamaa zangu kwa ujumla,,
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 now,,sikuwah kumruhusu mwanamme yoyote kukaribia joto langu la mwili,,,simaanishi sijawahi kujihusisha na mapenzi laa!!! nilisha fall in love na kijana alienipenda nikampenda,,ispokua ni mapenzi ya email sms sim zawadi, bas kwa ajili ya madhehebu tulonayo,,tena hayo yalikuwa ni ya siri,sana bila wazazi wa pande zote kujua na ukizngatia alikua ni mtoto wa amy yangu,,soo soon nilikuja kuposwa nilikataa na lakini huo ndio ulikua mwisho wangu mimi naye na kwa sasa kasafiri holand na kukata mawasiliano yetu,, almost 11months up to now,,sijui kosa langu wallah!! na ni wengi niliowakataa si ofisini wala nyumbani kulinda dreams tulizopanga mimi naye,,,na istoshe alipata khabari ya kumwa kwangu ila hakujali na si kawaida,,,moyo wangu wasema bado nimfatilie lakini na roho nayo yasita...ya raab!!
then pia nilipewa transfar juzi hospital nende india au huko aliko yeye kwa matibabu ya moyo na najua fika wallah tutakutana mana wote hua twafikizia kwa aunt yetu alioko huko ni yeye tuu ndie mwenyeji wetu,,,so wats wrong with him jamani?????na jee kuna umuhimu wowote kukutana tena???sijui hata kueleza jins nikimfikiria,,
pole mwaya,
vyovyote itakavyokuwa usigawe tunda kabla ya ndoa coz inaweza kukuletea majuto yasiyoponyeka,maana imagine umpe tunda halafu akutose!
nakutakia matibabu mema huko India au Holand.
pole mwaya,
vyovyote itakavyokuwa usigawe tunda kabla ya ndoa coz inaweza kukuletea majuto yasiyoponyeka,maana imagine umpe tunda halafu akutose!
nakutakia matibabu mema huko India au Holand.
ni lugha ya mtaani inamaanisha kumkataa mtu kimapenzi.:redfaces:
Kwanza pole kwa kila kitu, Pili hongera kwa kujitunza, ni miongoni mwa mabinti wachache wenye kustahimili mikikimikiki yawanaume wanapowafukuzia!! Bahati mbaya nimeona na nina watoto lukuki, so I'm out kwenye uwezekano wa kukuomba tuwe wapenzi, utabaki kuwa rafiki!
Well, nionavyo jamaa anakupnda ila NAHISI AMESHAPATA MWINGINE na either wameahidiana kuoana au tayari wameshapata na mtoto!! Inamuwia vigumu kuwasiliana nawe kwa vile anajua amevunja ahadi na anaona haya kuku-face, anajua atakuwa ameuumiza sana moyo wako!! Naona umsahau, karibisha mtu mwingine utakayempenda!! ILa always listen to your heart..
Kila la kheri
pole mwaya,
vyovyote itakavyokuwa usigawe tunda kabla ya ndoa coz inaweza kukuletea majuto yasiyoponyeka,maana imagine umpe tunda halafu akutose!
nakutakia matibabu mema huko India au Holand.
pole sana dada nilham,naomba nikuulize hili mpenzi hivi imani ya kiislam inaruhusu kuolewa na mtoto wa baba mkubwa mi nijuavyo ni binamu tu.nihabarishealikuwa si yeye dear alikuwa ni jamaa mwengine aliekuja posa na ndio ye aliposkia khabari hizo akaanza kubadilika,,,mana lazma askie ni mtoto wa baba angu mkubwa (amy),,
pole sana dada nilham,naomba nikuulize hili mpenzi hivi imani ya kiislam inaruhusu kuolewa na mtoto wa baba mkubwa mi nijuavyo ni binamu tu.nihabarishe
Du cheusimangala upo mamie! nimekumiss!!!
baba mkubwa au mdogo ndo Amy (au ami) ndo ulipotoka msemo wa bin-ami, waswahili wakamaliza na binamu 😀)
nikikupigia kura utatuletea maendeleo gani katika jukwaa hili la mahusiano na mashirikiano? naomba jibu kabla sijatumia haki yangu ya kidemokrasia hawa wagombea wengine kwavile hawaonekani nitawaPM.
bek to ze topik: mpaka sasa no comment
S,A,,, ndugu na jamaa zangu kwa ujumla,,
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 now,,sikuwah kumruhusu mwanamme yoyote kukaribia joto langu la mwili,,,simaanishi sijawahi kujihusisha na mapenzi laa!!! nilisha fall in love na kijana alienipenda nikampenda,,ispokua ni mapenzi ya email sms sim zawadi, bas kwa ajili ya madhehebu tulonayo,,tena hayo yalikuwa ni ya siri,sana bila wazazi wa pande zote kujua na ukizngatia alikua ni mtoto wa amy yangu,,soo soon nilikuja kuposwa nilikataa na lakini huo ndio ulikua mwisho wangu mimi naye na kwa sasa kasafiri holand na kukata mawasiliano yetu,, almost 11months up to now,,sijui kosa langu wallah!! na ni wengi niliowakataa si ofisini wala nyumbani kulinda dreams tulizopanga mimi naye,,,na istoshe alipata khabari ya kumwa kwangu ila hakujali na si kawaida,,,moyo wangu wasema bado nimfatilie lakini na roho nayo yasita...ya raab!!
then pia nilipewa transfar juzi hospital nende india au huko aliko yeye kwa matibabu ya moyo na najua fika wallah tutakutana mana wote hua twafikizia kwa aunt yetu alioko huko ni yeye tuu ndie mwenyeji wetu,,,so wats wrong with him jamani?????na jee kuna umuhimu wowote kukutana tena???sijui hata kueleza jins nikimfikiria,,