Mapepo ni nini?

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
Ni kawaida sana kuona watu wana majini, mashetani, mapepo, maruwani ambapo ikitokea hivyo hutafutwa kiongozi wa dini mwenye uwezo wa kuyatoa au kuyakemea sasa kwa wale kina Ngombale Mwiru huwa wanatakiwa wafanyaje au ndio waende hosipitali waamini kuwa ni ugonjwa wa akili? manake house girl wetu usiku kacharuka huyo mi nimechukua bakora nimemchapa maana naona ananichanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…