Mapepo ya Baba mwenye nyumba

Zamani ukibalehe tu, unapewa na mke kabisaaaa.
Siku hizi baba la miaka arobaini linaishi kwa mama yake
Kama tunatakiwa kufanya mapenzi baada ya ndoa, kwa nini tunabalehe kabla ya ndoa? Sidhani kama ni busara kutaja mtu jina humu JF.
 
Duh kama hii habari ya kweli imenisikitisha vya kutosha
 
End of the world,
Hata ukisimuliwa bado unahisi ni Uongo,
''Makubwa Haya"
 
duh...ukistaajabu ya musa....na ya firauni sijui...watu mbona wamekosa kazi tu na aibu!!!! Toba!
 
Kaka hiyo ni aibu..

nakushauri siku nyingine usitoe taarifa za makao ya mtu anapoishi, siyo vizuri.

wewe ilishamuonya sasa ya nini kumsema huku mwenye forum....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…