MAPICHA: MTV party at Maisha club

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Mie nimezinguka na vivazi vya wadada hasa cha Jokate na huyo mwingine duh!

 

Attachments

  • _MG_8155.jpg
    88.9 KB · Views: 1,185
  • _MG_8101.jpg
    54.5 KB · Views: 1,015
  • _MG_8230.jpg
    51.8 KB · Views: 1,206
  • _MG_8149.jpg
    64.2 KB · Views: 196
  • _MG_8277.jpg
    70.6 KB · Views: 1,208
  • _MG_8207.jpg
    95.9 KB · Views: 1,187
  • _MG_8273.jpg
    85.9 KB · Views: 163
  • _MG_8234.jpg
    66.7 KB · Views: 1,173
  • _MG_8154.jpg
    61.9 KB · Views: 1,151
  • _MG_8176.jpg
    41.8 KB · Views: 1,185
  • _MG_8159.jpg
    44.1 KB · Views: 1,145
Mie nimezinguka na vivazi vya wadada hasa cha Jokate na huyo mwingine duh!



Huyo mwenye suruali iliyochanika atakuwa mwanaume ila ana homony za kike kidogo!!!!!!
 
Naanza nami kujichanganya naona nazeeka sasa
 
huyu wa mwisho ndo labda!! wengine too much make-up!
 
El Toro nakupongeza kwa dhati kabisa kwa jinsi unavyodumisha kazi iliyoachwa wazi na MFUNYUKUZI
 
Mimi niltuwama hapa kijijini kwetu...mida hii napiga hii picha mama muuza hajatokea

 
Huu uvaaji wa suruali wa kata k, huwa zinashikiliwa na nini kiasi kwamba hazidondoki?
 
wacha watu wale raha.....duh..bongo tambarare......Bongo kama hollywood bana....
 
Hiyo shanga na kipepeo mie hoiiii na huyo kwa kulia nae yuko tight kinoma!
...Halafu hiyo mwanawane inaonekana ni full kiyoyozi ukiteremsha tu hicho kipensi mazee unacheka na nyavu si mchezo...inaelekea anatumia mitandao yote huyu demu...!!
 
wa mwisho kanikumbusha mbali enzi zetu ukitaka kupiga picha unakaa karibu na ua,or kabati, kitu ulichokipenda unanyoosha kidole ndo unapiga picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…