Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tangu juzi nawaza hiliNakumbuka yalikuwa yamepamba moto, kila chombo cha habari kinawazungumzia wao tu; pamoja na kuonyesha harakati zao katika kuikomboa kongo.
Lakini kwa sasa, naona kuna kimya kingi; au wameshaikomboa kongo?
Fafanua kidogo mkuu jazia nyama😁Vikwazo vimemuelemea Paka, ukitaka kumuua nyoka dili na kichwa... mkia ni behewa tu fata upepo...