kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
1. IGP Siro haja na taarifa zenye utata dhidi ya Lissu
2. Dialo na Mtaka watoa kauli nzito kuhusu watawala na kutakiwa kuomba radhi kinyume na misimamo yao
3. Msajili wa vyama ahoji kwanini wabunge 19 walifukuzwa chadema
Huu ni mwendelezo wakuwatoa Wana vuguvugu la katiba kwenye harakati za kudai katiba mpya. Tusirudi nyuma,tusitekwe na mijadala yao hasi tubebe agenda moja na tusonge mbele kuelimisha umma na kuamsha hisia za kudai katiba. Yatatokea mengi kutuondoa kwenye reli tuseme KATIBA MPYA NDIYO AGENDA YETU, PROPAGANDA BASI
2. Dialo na Mtaka watoa kauli nzito kuhusu watawala na kutakiwa kuomba radhi kinyume na misimamo yao
3. Msajili wa vyama ahoji kwanini wabunge 19 walifukuzwa chadema
Huu ni mwendelezo wakuwatoa Wana vuguvugu la katiba kwenye harakati za kudai katiba mpya. Tusirudi nyuma,tusitekwe na mijadala yao hasi tubebe agenda moja na tusonge mbele kuelimisha umma na kuamsha hisia za kudai katiba. Yatatokea mengi kutuondoa kwenye reli tuseme KATIBA MPYA NDIYO AGENDA YETU, PROPAGANDA BASI