ZIJUE DALILI ZA PANIC ATTACK
Imekua ni kawaida kusikia mtu akisema ninapanic sana. Je; ni kweli kinachowatokea ni tatizo linalojulikana kama panic attack au ugonjwa wa panic? Dalili za tatizo hili la panic ni kama hizi zifuatazo
Kwanza kabisa; Dalili hizi hutokea ghafla na hufikia kilele au ukali wake ndani ya dakika 10-15. Kwa watu walio wengi; dalili hizi huisha baada ya dakika 20-30 na ni mara chache sana dalili hizi zitadumu kwa zaidi ya lisaa limoja.
PANIC ATTACK HUHUSISHA MJUMUIKO WA DALILI NA HISIA ZIFUATAZO
· Kushindwa kuhema au kukosa hewa
· Mapigo ya moyo kwenda kasi. Heart palpitations or a racing heart
· Maumivu ya kifua (Chest pain or discomfort)
· Kutetemeka (Trembling or shaking)
- Kutokwa jasho (Sweating)
- Kichefuchefu au tumbo kuvuruga (Nausea or upset stomach)
- Kizunguzungu au hata kuzimia (Feeling dizzy, light-headed, or faint)
- Kufa ganzi (Numbness or tingling sensations)
- Hot or cold flashes
- Hofu ya kufa au kuchanganyikiwa (Fear of dying, losing control, or going crazy)
· Choking feeling
· Feeling unreal or detached from your surroundings
IKIWA TATIZO HILI LA PANIC LINAKUPATA NA KUJIRUDIA MARA KADHAA KWENYE MAISHA YAKO NA KUKUNYIMA RAHA AU KUKUFANYA USHINDWE KUFANYA SHUGHULI ZAKO; HUITWA PANIC DISORDER AU UGONJWA WA PANIC. UGONJWA HUU HUTIBIWA NA WATAALAM WA AFYA NA MAGONJWA YA AKILI NA UNAPONA KABISA.
Kwa maelezo zaidi Facebook @Psychological Support and Mental health Awareness