Mapindunzi: Fainaly Simba vs Mtibwa

Mapindunzi: Fainaly Simba vs Mtibwa

Kagere aanze kujitathmini sasa.
Uwezo wake unazidi kupungua.
Mechi ya Simba na Azam ya nusu fainali Mapinduzi Cup iliyofanyika tarehe 10/01/2020, amecheza chuni ya kiwango sana.
Nafasi za wazi yeye na kipa beki yupo mbali, anapasia kusikojulikana.
Anakosa penati kwa kupiga kashuti dhaifu kabisa.
Karibu mechi nne sasa hajafunga.
Simba bado tunahitaji mshambuliaji wa mwisho wa kiwango cha Kipre Cheche.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagere aanze kujitathmini sasa.
Uwezo wake unazidi kupungua.
Mechi ya Simba na Azam ya nusu fainali Mapinduzi Cup iliyofanyika tarehe 10/01/2020, amecheza chuni ya kiwango sana.
Nafasi za wazi yeye na kipa beki yupo mbali, anapasia kusikojulikana.
Anakosa penati kwa kupiga kashuti dhaifu kabisa.
Karibu mechi nne sasa hajafunga.
Simba bado tunahitaji mshambuliaji wa mwisho wa kiwango cha Kipre Cheche.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagere aanze kujitathmini sasa.
Uwezo wake unazidi kupungua.
Mechi ya Simba na Azam ya nusu fainali Mapinduzi Cup iliyofanyika tarehe 10/01/2020, amecheza chuni ya kiwango sana.
Nafasi za wazi yeye na kipa beki yupo mbali, anapasia kusikojulikana.
Anakosa penati kwa kupiga kashuti dhaifu kabisa.
Karibu mechi nne sasa hajafunga.
Simba bado tunahitaji mshambuliaji wa mwisho wa kiwango cha Kipre Cheche.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bana,ile sio machine ya kukoboa,anatumia damu na nyama. Hakuna biandamu anayeweza kufanya kitu kwa kiwango kilekile Siku zote. Mfuatilie Chama alishayumba lakini sasa amekuja juu. Tazama Deo Kanda alivyoanza,leo hii anaimbwa ni hatari.

India wewe basi
 
Kagere aanze kujitathmini sasa.
Uwezo wake unazidi kupungua.
Mechi ya Simba na Azam ya nusu fainali Mapinduzi Cup iliyofanyika tarehe 10/01/2020, amecheza chuni ya kiwango sana.
Nafasi za wazi yeye na kipa beki yupo mbali, anapasia kusikojulikana.
Anakosa penati kwa kupiga kashuti dhaifu kabisa.
Karibu mechi nne sasa hajafunga.
Simba bado tunahitaji mshambuliaji wa mwisho wa kiwango cha Kipre Cheche.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya power bank imeanza kuonekana. Fanya haraka mtafutie nyingine, bila hivyo ndiyo utakuwa mwisho
 
Wabongo bana,ile sio machine ya kukoboa,anatumia damu na nyama. Hakuna biandamu anayeweza kufanya kitu kwa kiwango kilekile Siku zote. Mfuatilie Chama alishayumba lakini sasa amekuja juu. Tazama Deo Kanda alivyoanza,leo hii anaimbwa ni hatari.

India wewe basi
Sawa Mkuu,
Nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagere aanze kujitathmini sasa.
Uwezo wake unazidi kupungua.
Mechi ya Simba na Azam ya nusu fainali Mapinduzi Cup iliyofanyika tarehe 10/01/2020, amecheza chuni ya kiwango sana.
Nafasi za wazi yeye na kipa beki yupo mbali, anapasia kusikojulikana.
Anakosa penati kwa kupiga kashuti dhaifu kabisa.
Karibu mechi nne sasa hajafunga.
Simba bado tunahitaji mshambuliaji wa mwisho wa kiwango cha Kipre Cheche.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo wa sasa wa Simba haumfanyi Kagere kung'a tena. Anacheza peke yake mbele, tofauti na msimu uliopita alpokua sambamba na akina Bocco & Okwi kwa pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom