Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #21
UsitufokeeAisee..tuachane na mapinduzi kuna wanaume wameingia makundi Africa..tujadili hilo kwanza.
Mwenyewe huwa nashangaa Sana. Yangetafutiwa udhamini na kuboreshwa zaidi. Yawe yanachezwa katikati ya ligi. Inapofika tarehe 12 inapigwa tu fainali. Na timu zingeongezwa kidogo kuliko uhuni uhuni wa safari zote hizoHaya mashindano yangeboreshwa zaidi kwa kuwekwa kwenye kalenda za TFF na ZFA kwani mwaka huu ratiba imekuwa kikwazo sana imagine leo azam wamealiza mechi muda huu then kesho saa kumi wacheze na utopolo. Ni wazi kuwa TFF na ZFA hawakuzingatia hili kwa mwaka huu
Wameshaingia fainali,tuna hamu na MapakaYanga wanafanya ujanja ujanja watolewe ili wasikutane na Simba.
Naona kabisa makosa yao ni kama watu wanaowachezesha shere mashabiki zake.
Ma hawaaminiWameshaingia fainali,tuna hamu na Mapaka
Mno tena.....Haya magoli ya anayofungwa simba sijui ni kwa nini hawataki kubadilika.
Champs lg watapata tabu sana.
Champions league ndio hiyoinayoendelea, wamefunga magoli matano na wameruhusu goli moja hadi sasa. Au unazungumzia Champions League ya mwakani 2021/2022 ?Champs lg watapata tabu sana.