Wachezaji wanaoshiriki mashindano ya kimataifa hawaongezewi chochote na mashindano haya ya mapinduzi sababu wanakutana na wachezaji ambao hawana quality kulinganisha na wale wa watakaoshiriki mashindano ya kimataifa.Unapelekaje timu C, hao wachezaji hiyo ndiyo kazi yao..vile vile kumbuka timu zingine ziko kwenye mashindano ya kimataifa hivyo ni fursa kwa ajili ya maandalizi na kuwajaribu wachezaji wapya wanaotarajiwa kuwachukua kwenye usajili wa dirisha.
Hao viongozi wa hizo timu zitakazogomea mtawaokota kwenye viroba, timu zinaweza kugomea mashindano ya cecafa lakini sio mapinduzi, haya mashindano yapo kisiasa zaidiMashindano yako Kwa ajili ya kuwafurahisha wazenji kwenye siku ya mapinduzi. Halina tija yoyote kwa klabu zinazoshiriki.
Najiuliza siku klabu zikigomea zitafanywaje?
Kwa mfano Tim gan inaweza kugomea mashindano hayo , hebu toa mfanoMashindano yako Kwa ajili ya kuwafurahisha wazenji kwenye siku ya mapinduzi. Halina tija yoyote kwa klabu zinazoshiriki.
Najiuliza siku klabu zikigomea zitafanywaje?
Mashindano yako Kwa ajili ya kuwafurahisha wazenji kwenye siku ya mapinduzi. Halina tija yoyote kwa klabu zinazoshiriki.
Najiuliza siku klabu zikigomea zitafanywaje?
Kama ni hivi basi hii nchi ina safari ndefu bado.Hili kombe lipo kwa ajili ya CCM, siku CCM ikitoka madarakani nalo linakata moto hapo hapo.