johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Najaribu kuifuatilia safari ya njia ya msalaba kupitia Biblia Takatifu, kiukweli kuna baadhi ya maamuzi ni vigumu kuyafanya ukiwa vuguvugu ni ama uwe na Roho Mtakatifu au uwe na Roho wa Shetani.
Naamini Mungu atamuongoza vema Jaji Kaijage endapo kuna mapingamizi yoyote yatatokea.
Pontio Pilato mwisho alisema " Niliyoandika Nimeyaandika"
Nawatakia wednesday yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Naamini Mungu atamuongoza vema Jaji Kaijage endapo kuna mapingamizi yoyote yatatokea.
Pontio Pilato mwisho alisema " Niliyoandika Nimeyaandika"
Nawatakia wednesday yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!