Tangu kesi ya Mbowe na wenzie ianze upade wa utetezi umeweka mapingamizi kama sikosei matatu na yote yametupwa.
Ningefurahi kama wangetokea wanasheria huru waweke ushabiki pembeni) na watusaidie kuyajadili haya mapingamizi na technicalities zake.
Tusio wanasheria tusome tu na tuwaachie wataalamu!
Ningefurahi kama wangetokea wanasheria huru waweke ushabiki pembeni) na watusaidie kuyajadili haya mapingamizi na technicalities zake.
Tusio wanasheria tusome tu na tuwaachie wataalamu!