Mapishi ya Chapati: Jikoni kwa Evelyn Salt & Mentor

Nikiona gazeti la udaku apo nitaamini hizo picha,.


Duh mkuu, gazeti la udaku na jikoni wapi na wapi? Au unahisi tunapikia genge?

Jiko sharti liwe safi.

Nimekata tamaa, umeona wapika kitu latokea bati?

Mkuu kutokana na wajuvi walivyosema hapo juu ongezea na maelekezo yangu. Hakika hutokosea.

NB: Ukandaji...ukandaji sahihi na kwa muda sahihi, usiwe na pupa. Ukishakanda subiri dakika thelathini kisha uendelee. usipuuzie au kutumia shortcut.
 
Jifunze um-surprise my-husband-wako.



Mhh! Walisema kipimo cha mke bora basi ni mapishi yake ya chapati, sasa kama hujui kupika kabisa...sijuiiii!!!
Nisipojua chapati ntajua kingine bwana
Akitaka chapati nampikia za maji nzuriiiiii
 
Haika mae.

Je, huwa zinakuwa laini utakavyo?

Na pili je, ni kwa nini huwa unatumia maji ya moto na si baridi?
zinakuwa laini hata ukiziacha ndani ya siku tatu...

mama yangu wakati ananifundisha ndiyo aliniambia tumia maji ya moto ili unga unyambuke na baadae mafuta ya moto sasa kiukweli sikumuuliza kwa nini si maji ya baridi
 
Hivi mkuu unapo sema binti wa kike tu unamaanisha nini? Kwani kina binti wa kiume?
 
Nisipojua chapati ntajua kingine bwana
Akitaka chapati nampikia za maji nzuriiiiii

Jifunze my dear..hata mimi nilikuwa naogopa sana kabla ya leo!


zinakuwa laini hata ukiziacha ndani ya siku tatu...

mama yangu wakati ananifundisha ndiyo aliniambia tumia maji ya moto ili unga unyambuke na baadae mafuta ya moto sasa kiukweli sikumuuliza kwa nini si maji ya baridi

Thank you, wifi yako Evelyn Salt naye kanifundisha vivyo hivyo!
 
nice one kidogo utafungua restaurant mjini....
 
hiz ndiyo chapati nzuri msalimie wifi

Zimefika. Naye anakusalimia, leo anajisikia uvivu kidogo!

Hahahhaah

duu hata mi mwanzo nilikua mzito kuamini izo picha ...haya bhana tumeelekea kibra tayari

Nashukuru kwa kuamini!

Kama ni recipe nimeikuta mitandaoni nikaipenda nitasema. Kama ni mimi nimepika nitasema pia.

Nasubiria mrejesho wako baada ya kujaribu mapishi haya!
 
Zimefika. Naye anakusalimia, leo anajisikia uvivu kidogo!



Nashukuru kwa kuamini!

Kama ni recipe nimeikuta mitandaoni nikaipenda nitasema. Kama ni mimi nimepika nitasema pia.

Nasubiria mrejesho wako baada ya kujaribu mapishi haya!

kiukweli hizi chapati zilisha nishinda yani kutoa kiwango kabiisa...
 
vipi tukifungua mgahawa utakuwa radhi kuwa mteja wetu???
kwa kwer nitakuwa mteja wako chai maziwa na chapat 4 ahaaa magu akja kusikia break fast hiiπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³
 
Zimefika. Naye anakusalimia, leo anajisikia uvivu kidogo!



Nashukuru kwa kuamini!

Kama ni recipe nimeikuta mitandaoni nikaipenda nitasema. Kama ni mimi nimepika nitasema pia.

Nasubiria mrejesho wako baada ya kujaribu mapishi haya!
asijali apumzike tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…