Mapishi ya Chapati: Jikoni kwa Evelyn Salt & Mentor

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulikosea kutokurudia,ungejaribu tena na tena mwisho ungejua.

Hakuna ambaye hakutoa kaukau siku ya kwanza kupika chapatti tukiacha unafiki.
Mie zilinitoa nishai egg chop, aisee kuzitia kwenye mafuta zikatawanyikaa, ikabidi nirudi nimuulize farkhina nilikosea nini ndio akanielekeza hadi nikaweza.
 
Mi chapati huwa zinanijaza tumbo [zinanifanya nijisikie nimeshiba mno] sana.

Hivi mpo mlio kama mimi?

Na kwa sababu hiyo huwa sizili mara kwa mara.
Mie mmojawapo ukipata dawa nijulishe.........zimenifanya sipendi chapati ukimaliza kula vhapati natupia magnesium daahh
 
Mie mmojawapo ukipata dawa nijulishe.........zimenifanya sipendi chapati ukimaliza kula vhapati natupia magnesium daahh
Punguza mafuta unayotumia kupikia. From yale ya kupaka wakati unatengeneza layers hadi wakati wa kuzichoma.

Ukiweka tumia brush.
 
Mh..siwezi ubishi, umeshinda mama angu.
dah mama za siku naona umetukumbuka leo sometime nawaza cartoon za kifimbo cheza ungekabiziwa huunyooshe wale wasela wa kuchafua lugha jf kwa kuwapa ban ...
 
Uni.....................haya mkuu nitakuja uniiiiiiiii
 
Sijui ni macho yangu au roho mbaya yangu! naona round hujaipatia kabisa muombe akuelekeze how to round them, [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30] ila umewazidi hata ke wangi wa humu
@CIkey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…