umemaliza nn masoud waukweli?
jamani tafadhali mwenye uzoefu na mapishi ya donat anisaidie namna ya kuandaa
my dear natumia android ndio, bt tatizo siioni hiyo app, it daznt apear at all
Eti mi najua Donati na andazi tofauti yake ni kile kitobo tu, hivo naandaa unga wa maandazi then nakata donati, nakosea?Yaani nyie wote hamjatoa recipe pyeeee
Ila donat kwa mie naon ina viambaupishi ving kuliko maandazEti mi najua Donati na andazi tofauti yake ni kile kitobo tu, hivo naandaa unga wa maandazi then nakata donati, nakosea?
Kama nini vile?Ila donat kwa mie naon ina viambaupishi ving kuliko maandaz
Donat limejaa nyama bana.... haladlfu haliumuki kama andazi... usisahau unaweza weka icing au sukari iloyeyushwa juu kama mbwembwe na kinogeshoEti mi najua Donati na andazi tofauti yake ni kile kitobo tu, hivo naandaa unga wa maandazi then nakata donati, nakosea?
Nyama zake zinajazwa na nini au ndo unasukuma donge neneDonat limejaa nyama bana.... haladlfu haliumuki kama andazi... usisahau unaweza weka icing au sukari iloyeyushwa juu kama mbwembwe na kinogesho
Nadhani donge neneNyama zake zinajazwa na nini au ndo unasukuma donge nene
Hizi ni kalimati