Mapishi ya mbege

Mapishi ya mbege

inbox me kama bado hujapata msaada kwani mimi si mwenyeji sana jukwaa hili
 
Jamani naomba mwenye kujua namna ya kupika mbege anielekeze tafadhari

mahitaji
Ndizi kisukari
unga wa ulezi
lakini huu ulezi unakuwa kama umemea fulani hivi..

jinsi ya kutengeneza wengine waendelee..
 
jinsi ya kutengeneza mbege .
ndizi mbivu aina ya mbembo au ndizi bukoba au mix za ndizi,unazichemsha baada ya kutoa maganda hadi zibadili rangi na kuwa kama kahawia,unaziepua na unaziifadhi kwa muda kwa hali ya hewa ya moshi zinakaa siku saba hadi juu zinaota kama ukijani kwa juu.
unachukua ulezi unauosha na kuchuja mchanga na unatafuta majini ya mgomba unatandika kwa sakafu then unaweka ule ulezi juu yake ukiwa na majimaji kwa kuutandaza mithila ya mtu anayetadanza kifusi,unauacha kwa muda hadi uwe kama unaota then unaubandua na kuuchambua chambua.ukimaliza unauanika juani hadi ukauke (ukitafuna huu ulezi wakati umekauka ni mtamu balaa) then unapeleka mashineni kusaga uwe unga halafu unapika uji wa huo ulezi,hatua ifutayo ni kuchanganya zile ndizi na maji kiasi kama unatengeneza juisi unachuja na kunachanganya na ule uji unakoroga pamoja then unaacha itulie ili yale machicha ya ulezi yachuke chini.baada ya hapo unaweza ukanywa siku hiyo hiyo au ukalaza hadi kesho yake ili ichachuke kuwa pombe.
kama kuna maswali ruksa,ninaandika kwa kutumia simu ndio maana nimeandika kwa kifupi.
 
jinsi ya kutengeneza mbege .
ndizi mbivu aina ya mbembo au ndizi bukoba au mix za ndizi,unazichemsha baada ya kutoa maganda hadi zibadili rangi na kuwa kama kahawia,unaziepua na unaziifadhi kwa muda kwa hali ya hewa ya moshi zinakaa siku saba hadi juu zinaota kama ukijani kwa juu.
unachukua ulezi unauosha na kuchuja mchanga na unatafuta majini ya mgomba unatandika kwa sakafu then unaweka ule ulezi juu yake ukiwa na majimaji kwa kuutandaza mithila ya mtu anayetadanza kifusi,unauacha kwa muda hadi uwe kama unaota then unaubandua na kuuchambua chambua.ukimaliza unauanika juani hadi ukauke (ukitafuna huu ulezi wakati umekauka ni mtamu balaa) then unapeleka mashineni kusaga uwe unga halafu unapika uji wa huo ulezi,hatua ifutayo ni kuchanganya zile ndizi na maji kiasi kama unatengeneza juisi unachuja na kunachanganya na ule uji unakoroga pamoja then unaacha itulie ili yale machicha ya ulezi yachuke chini.baada ya hapo unaweza ukanywa siku hiyo hiyo au ukalaza hadi kesho yake ili ichachuke kuwa pombe.
kama kuna maswali ruksa,ninaandika kwa kutumia simu ndio maana nimeandika kwa kifupi.

thanks sana mkuu kwa hili na kuifanya iwe kekundu unafanyaje mkuu?
 
Marire nyongeza kama unataka iwe chachu na ileweshe haraka unatafuta mti unaitwa msesewe unauchoma alafu ile mkaa unautupia huko kwenye pipa itanogajeeee hahahahhahaa home sweet hime aise mimate yantoka mie.mtoa mada sufuria unayopikia hizo ndizi linatakiwa liwe zito ili zisiungue trust me unachemsha mpaka ndizi inakuwa na rangi ya purple iliyopauka hapo imwkwiva sawasawa,na baada ya hizo siku saba unachuja na mfuko /sulfate laini inayopitisha maji
 
Last edited by a moderator:
mbege tamu asikuambie mtu!pia kama unataka ikuleweshe unaweka na konyagi moja,utaona raha yake
 
Siku nyingi sana sijaria mbekhe,
Jumapili ntaenda kupata albam walau tatu za mbekhe maeneo ya abori kwa ngokolo, mkemia wetu anaitwa Pepa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mate yananitoka tu[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom