Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
Mapishi ya Mlenda wa majani ya maboga:
Mahitaji:
1. bamia gram 250
2. Majani ya maboga 200
3. Nyanya chungu (kama utapenda) gram 100
4. Magadi 1/4 kijiko cha chai
5. chumvi - to taste
6. nyanya ndogo 1
7. Karanga zilizosagwa gram 100
8. maji - kikombe 1
Matayarisho:
1. Osha na kata bamia na nyanya chungu vipande vidogovidogo
2. Osha na kata majani ya maboga ndogondogo
Jinsi ya kupika
1. Bandika maji mpaka yachemke
2. weka chumvi na magadi
3. Weka majani ya maboga, bamia, na nyanya chungu
4. vikishachemka kwa kama dakika 5, weka nyanya, acha ichemke kidogo.
5. weka unga wa karanga na acha uchemke kwa kama dakika 5 - 7.
Tayari kwa kuliwa.
Mboga hii inapendeza kuliwa na ugali
Mahitaji:
1. bamia gram 250
2. Majani ya maboga 200
3. Nyanya chungu (kama utapenda) gram 100
4. Magadi 1/4 kijiko cha chai
5. chumvi - to taste
6. nyanya ndogo 1
7. Karanga zilizosagwa gram 100
8. maji - kikombe 1
Matayarisho:
1. Osha na kata bamia na nyanya chungu vipande vidogovidogo
2. Osha na kata majani ya maboga ndogondogo
Jinsi ya kupika
1. Bandika maji mpaka yachemke
2. weka chumvi na magadi
3. Weka majani ya maboga, bamia, na nyanya chungu
4. vikishachemka kwa kama dakika 5, weka nyanya, acha ichemke kidogo.
5. weka unga wa karanga na acha uchemke kwa kama dakika 5 - 7.
Tayari kwa kuliwa.
Mboga hii inapendeza kuliwa na ugali