Huyu Ngabu kapikiwa... Hajui mapishi hata[emoji43]hatua mbona sizioni au ndo ili tusijue the way kinavyoandaliwa
Sasa unasubiri nini kunigee hizo hela?Nimeuza, si ulisikia lile dili?
Nasubiri kukuuza na wewe.Sasa unasubiri nini kunigee hizo hela?
Uniuze afu msukuma wangu abaki na nani?Nasubiri kukuuza na wewe.
Yessir.....Kumbe unatumia Morton salt?
Hawezi kukosa wa kubaki nae, hebu fanya fasta.Uniuze afu msukuma wangu abaki na nani?
Yessir.....
Kuku matahira ndo wapi?naona unakula kuku matahira.
no wonder...
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]
Mkuu USA baby chakula hicho kinaitwaje?
LlllllKipo kingi tu.
Karibu sana.
Sounds like you love to eat jambalaya