Mapishi ya vibagia

Mapishi ya vibagia

mimi ninavipenda vile vyenye vimbegu mbegu hata sijui ni choroko au nini; ile commoni ya unga wa dengu ninafahau basics.
zile za kunde, lol!
ila watupe za bagia zote, mi hata hizo za dengu sizijui
 
SukariTamu, @FP, Kaunga

Za kunde


*Viambato
Mbale za Kunde------------kikombe kimoja
Maji--------------vikombe vitatu
Giligilani/kotmiri----kicha kimoja kidogo
Mchicha-----------mche mmoja mdogo
Kitunguu maji ------.kimoja
Chumvi------------nusu kijiko cha chai
Pilipili--------------robo kijiko cha chai
Bizari--------------nusu kijiko cha chai
Baking soda--------kijiko cha chai
Unga wa ngano-----kijiko kikubwa
Mafuta kwa ajili ya kuchomea/kaangia

*Namna ya kutayarisha
1. Roweka mbale za kunde kwenye maji kwa kiasi cha masaa 12
2. Chuja maji na usage kunde ama kwa food processor, blender, jiwe au kinu hadi zibakie vipande vidogo vidogo sana.
3. Kata kotmiri/giligilani, mchicha na kitunguu katika vipande vidogo vidogo
4. Tia chumvi, pilipili na bizari
5. Tia baking soda na unga wa ngano
5. Changanya vyote kwa pamoja kwenye bakuli

Weka mafuta kwenye karai yakishapata moto (medium heat), tengeza madonge ya badjia zako uchome

Zikigeuka rangi ya kahawia, toa kwenye mafuta.

Chuja kwenye chujio/chanja au paper towels

Tayari kwa kuliwa pamoja na chatne


*Nimejuta kuchangia kwenye hii thread
 
Last edited by a moderator:
SukariTamu, @FP, Kaunga

Za kunde


*Viambato
Mbale za Kunde------------kikombe kimoja
Maji--------------vikombe vitatu
Giligilani/kotmiri----kicha kimoja kidogo
Mchicha-----------mche mmoja mdogo
Kitunguu maji ------.kimoja
Chumvi------------nusu kijiko cha chai
Pilipili--------------robo kijiko cha chai
Bizari--------------nusu kijiko cha chai
Baking soda--------kijiko cha chai
Unga wa ngano-----kijiko kikubwa
Mafuta kwa ajili ya kuchomea/kaangia

*Namna ya kutayarisha
1. Roweka mbale za kunde kwenye maji kwa kiasi cha masaa 12
2. Chuja maji na usage kunde ama kwa food processor, blender, jiwe au kinu hadi zibakie vipande vidogo vidogo sana.
3. Kata kotmiri/giligilani, mchicha na kitunguu katika vipande vidogo vidogo
4. Tia chumvi, pilipili na bizari
5. Tia baking soda na unga wa ngano
5. Changanya vyote kwa pamoja kwenye bakuli

Weka mafuta kwenye karai yakishapata moto (medium heat), tengeza madonge ya badjia zako uchome

Zikigeuka rangi ya kahawia, toa kwenye mafuta.

Chuja kwenye chujio/chanja au paper towels

Tayari kwa kuliwa pamoja na chatne


*Nimejuta kuchangia kwenye hii thread

Thanks Gaijin, now l can say TGIF maana nimeshapata exciting kitu cha kufanya this weekend!
@fp, karibu recipe hiyo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom