machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Naufaham mkuu, nilikua nataka mleta mada aende ndani kidogo, nijuavyo Mimi sio kiungo Cha lazima kwenye maandalizi ya mbege.
Mbege iliobora chanzo chake kikuu Ni ule uchanganyaji wa ndizi zilizo pikwa na maji. Pindi maji yakiwa kiasi kidogo mbege inayatarajiwa huwa bora sanaView attachment 1632178
Inategemea wengine siku nne tu ndizi inakua ishageuka....utaijua kwa kuingalia mara kwa maara inakua inatoa povuu kwa juuNdizi za siku Saba sio kwa dar es laam hii mkuu!
Yaaa inaongeza ukalii...pombe isiwe kama togwaaPamoja! Mkuu ila ninavyojua Mimi msesewe Ni kuongeza ukali wa pombe(uchungu) na sio alcoholic volume
Ni kweli mkuu, ila hiki kiungo husabasha maumivu makali sana ya kichwa kwa baadhi ya watumiaji was hiki kinywajiPamoja! Mkuu ila ninavyojua Mimi msesewe Ni kuongeza ukali wa pombe(uchungu) na sio alcoholic volume
Yule mama wa kibamba pale anapika mbege..nitajiri mkubwa sana kwa sasa, nashangaa kwann hawamjumuishi kwenye malkia wa nguvu.. kajenga majumba kanunua magari n.kNi subiria mapishi ya gongo nipate kulewa vizuri
Hata Mimi hicho kiungo huwa sipendelei kabisa!Ni kweli mkuu, ila hiki kiungo husabasha maumivu makali sana ya kichwa kwa baadhi ya watumiaji was hiki kinywaji
Ngeraa ukitaka kuifaidi unaongeza huko konyagiiHata Mimi hicho kiungo huwa sipendelei kabisa!
Ukiamka asubuhi kichwa kinauma balaa! Ni sawa na mbege iliyokaa mpaka ikawa ngera
Utalewa Sana mkuu🤣Ngeraa ukitaka kuifaidi unaongeza huko konyagii
Sasa si ndio lengo la kunywa pombe mkuu... mimi sinywi pombe stareheeUtalewa Sana mkuu[emoji1787]
Hahaha🤣 wewe unaonekana Kama sio mkibosho Ni mworomboSasa si ndio lengo la kunywa pombe mkuu... mimi sinywi pombe starehee
Najua kupika dadiii,gongo,wanzuki,mbege japo kwa tabu sana(kuinywa najua vizuri mno)nini tena nimesahau[emoji28][emoji28][emoji28]eheee ndo hivyo
Msesewe Ni mti mchungu mno ukiukata unatoa maziwa maziwa unatoa vitunda vya kijani size ya zabibu!
Jina la kisayansi unaitwa rauvoflia caffra ingia Google utauona
Magome yake nadhani yanatoka kwenye mti wa msesewe!Kilicho kichungu sio mti,ni magome yake!
Na hayo magome ndio yanatumika kuchachusha wine ya mbege, baada ya kuyakuasha na kisha kuyasaga!
Kimbhumu unajua kuipika?Najua kupika dadiii,gongo,wanzuki,mbege japo kwa tabu sana(kuinywa najua vizuri mno)nini tena nimesahau[emoji28][emoji28][emoji28]eheee ndo hivyo
Mbege yake ni tamu?Yule mama wa kibamba pale anapika mbege..nitajiri mkubwa sana kwa sasa, nashangaa kwann hawamjumuishi kwenye malkia wa nguvu.. kajenga majumba kanunua magari n.k
Sanaa kiongoziiMbege yake ni tamu?