Mapishi

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,917
Wale wenzangu wa huku jikoni hebu leo kila mmoja ataje chakula apendacho na anaandaje tugawane maujuzi ya mahanjumati.....

Naanza mimi napenda afghani rice recipe yake hii apa ndivo naandaa hivi

https://www.jamiiforums.com/jf-chef/582355-afghani-rice-qabuli-palao.html

Pia samaki wa kukaanga napendelea

Uungaji ni tangawizi,pilipili manga,pilipili ya kuwasha,chumvi,tangawizi na kitunguu saumu....nikishawaunga naweka 30 minutes - 45 wakoleee

Ili wanoge zaidi huwa nna achari yake maalum utengezaji wake ni..

Mbirimbi,bizari ya pilau,chumvi kidogo na pilipili nachemsha na maji kidogo ikipoa nasaga kwa blender

Sasa hii aina ya sosi huwa nawamwagia kwa juu samaki wangu utamu unazidi lol....

Haya mashoti mje Chocs mimi49 amu Heaven on Earth measkron ameline na wengine

Na wale waonjaji wetu Nyani Ngabu BAK MziziMkavu Jerrymsigwa utafiti Bululu mshana jr na wengine

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
thanks miss long time no see you miss..
 
thanks miss long time no see you miss..

Ah nlikuepo ila tu nlikua nimejichokea nafsi ndugu yangu

Haya wewe unapendelea nini?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Naomba nijiteuwe kiranja wao , tunaanza kuonja lini Farkhina ?
 
Last edited by a moderator:
leo nimepika chips kavu na maini nimerost

main robo, kitunguu nyanya hoho na karoti
nimechemsha maini yenyewe yanaiva fasta then nikakatia
kila kitu kwa juu na kuanza kurost ni tam ile mbaya nimeshushia na
fanta passion. kilikua kitamu
 
Far za masiku tele mpendwa. ..? Na lil angel nae anaendeleaje? Busy siku hizi Hausikiki sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…