Mapokezi makubwa yamsubiri Kangi Lugola Segerea na Ukonga. Wadau wasema ule utaratibu wa wafungwa kupigwa mateke na kulima uanze naye, aliuunga mkono

Mapokezi makubwa yamsubiri Kangi Lugola Segerea na Ukonga. Wadau wasema ule utaratibu wa wafungwa kupigwa mateke na kulima uanze naye, aliuunga mkono

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wikendi hii nilipata fursa ya kutembela magereza ya Ukonga na Segerea(Segere Màtata) na nilijaribu kuongea na wapangaji wa huko kuhusu ujio wa Kangi Lugola katika magereza hayo.

Wengi walipokea hoja hiyo kwa furaha na wakasema kwamba, alishauri wafungwa wafanyishwe kazi za suluba za uzalishaji mali na ikibidi kupigwa mateke katika mashamba.

Pia wanasema alipunguza bajeti ya magereza na sasa wanaishi kwa tabu, na wakasema sasa aende akaonje adha ya uamuzi wake.

Wameshauri awe anapanda ile land cruiser ili ahenye kutokana na mwili alio nao na wengine wakashauri afungwe harakaharaka kama Mh Rais anavyopenda mambo yaende fasta ili wamkabidhi pori la kufyeka na kulima kwa jembe la mkono
 
Lugola haendi Gerezani, faili litakaa kwa DPP hadi kesi itapoa kama siyo kusahaulika au watafanya plea-bargain 'itangazwe' amelipa kiasi kadhaa.
Hakuna anayejua undani wa hili sakata, 1 trillion walizosaini kwani wamewekewa wao kwenye akaunti zao? Kwa kauli ya Rais ni kutofata utaratibu wa kuidhinishwa na Bunge, mazingira ya kulipiwa accommodation basi. Possibly anaweza lipa pesa za posho kama zilitoka nje ya utaratibu wa kawaida (hiyo ndiyo gharama yake ya kuhujumu uchumi).

CCM NI ILE ILE....
 
Akishindwa kuchanga karata zake..jamaa wanamfunga kweli ohooo

Nafasi ipo kusave sooo!!

CCM oyeee!!
 
Lugola haendi Gerezani, faili litakaa kwa DPP hadi kesi itapoa kama siyo kusahaulika au watafanya plea-bargain 'itangazwe' amelipa kiasi kadhaa.
Hakuna anayejua undani wa hili sakata, 1 trillion walizosaini kwani wamewekewa wao kwenye akaunti zao? Kwa kauli ya Rais ni kutofata utaratibu wa kuidhinishwa na Bunge, mazingira ya kulipiwa accommodation basi. Possibly anaweza lipa pesa za posho kama zilitoka nje ya utaratibu wa kawaida (hiyo ndiyo gharama yake ya kuhujumu uchumi).

CCM NI ILE ILE....
Baba iko kesi moja inaitwa matumizi mabaya ya ofisi. Hiyo haimkosi Lugora aka Ninja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa heshima ya Kangi kuwaonea huruma Bodaboda naahidi mimi na boda wenzangu kumlipia faini atakayotozwa

au LA kumsaidia kutumikia (kugawana) kifungo chake kwa awamu kwa ushirika na boda wenzangu

ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji.!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba iko kesi moja inaitwa matumizi mabaya ya ofisi. Hiyo haimkosi Lugora aka Ninja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lugola Kangi hana Kesi hapo
Posho hakuchukua kwani nje hakwenda
pia hilo suala lilijulikana kabla na lilibarikiwa
sema kuna waliotaka kuchepusha ulaji
kuna aliye best zaidi ya Kitwanga aliyemaliza mashine za alama za vidole za POLISI akishirikiana na yule mwenye nyumba za Dr Shika alizotaka kununua na wanapeta sembuse Kangi
 
Lugola Kangi hana Kesi hapo
Posho hakuchukua kwani nje hakwenda
pia hilo suala lilijulikana kabla na lilibarikiwa
sema kuna waliotaka kuchepusha ulaji
kuba best zaidi ya Kitwanga aliyemaliza mashine za alama za vidole na anapeta sembuse Kangi
Tusubirie
 
Wikendi hii nilipata fursa ya kutembela magereza ya Ukonga na Segerea(Segere Màtata) na nilijaribu kuongea na wapangaji wa huko kuhusu ujio wa Kangi Lugora katika magereza hayo.

Wengi walipokea hoja hiyo kwa furaha na wakasema kwamba,alishauri wafungwa wafanyishwe kazi za suluba za uzalishaji mali na ikibidi kupigwa mateke katika mashamba.

Pia wanasema alipunguza bajeti ya magereza na sasa wanaishi kwa tabu, na wakasema sasa aende akaonje adha ya uamuzi wake.

Wameshauri awe anapanda ile land cruiser ili ahenye kutokana na mwili alio nao na wengine wakashauri afungwe harakaharaka kama Mh Rais anavyopenda mambo yaende fasta ili wamkabidhi pori la kufyeka na kulima kwa jembe la mkono
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom