Nasikia mda wowote Konde Gang wanamtambulisha Cheed,usisahau kutuwekea habari zako kama ulivyokuwa unatuwekea.Ndugu Wajumbe wa Wcb mmeona balaa la mfalme huko Kigoma?
King baada ya kuujaza uwanja wa Nangwanda sasa amepeleka balaa kigoma, Mapokezi aliyoyapata unaambiwa haijawaitokea msanii akapata nyomi la watu kama la king kiba
Chibunye alikusanya Wadada wa Bongo muvu wavaa utupu ili apate nyomi la watu
View attachment 1535796
You will never see himNasikia mda wowote Konde Gang wanamtambulisha Cheed,usisahau kutuwekea habari zako kama ulivyokuwa unatuwekea.
na daima milele kiba ataendelea kuwa mshindanishwi wake.Hapo ndo Diamond atapobaki kuwa juu maana kadiri utavyo jitahid kufanya vizuri utaishia kushindanishwa nae kama kigezo cha msanii kuwa bora Tanzania
Bora asee Kama kweli.. dogo kuimba anajua sema mikono alioingia hapo awali kwa kingkiba haikuwa salamaNasikia mda wowote Konde Gang wanamtambulisha Cheed,usisahau kutuwekea habari zako kama ulivyokuwa unatuwekea.
Ni vijana hawana ajira kutokana na sera mbovu wangekuwa na kazi za kufanya wangekuwa bize kwenye shughuli zao.....Hapo ndo Diamond atapobaki kuwa juu maana kadiri utavyo jitahid kufanya vizuri utaishia kushindanishwa nae kama kigezo cha msanii kuwa bora Tanzania