figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Ndato Rungwe imesimama, mapokezi ya mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe. Ni mwendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Serikali za Mitaa mkoa wa Mbeya
Kuengua Wagombea, kumewakosesha fursa ya kuchangamana na kubadilishana mawazo kwa Wananchi. Mikutano kama hii inaleta furaha na umoja kwa wananchi.
Wananchi Waliikosa hii furaha kwa miaka 7.
Hongereni Watanzania
Kuengua Wagombea, kumewakosesha fursa ya kuchangamana na kubadilishana mawazo kwa Wananchi. Mikutano kama hii inaleta furaha na umoja kwa wananchi.
Wananchi Waliikosa hii furaha kwa miaka 7.
Hongereni Watanzania