Mapokezi ya naibu mwenyekiti CCM (Bara)Barakoa zimepuuzwa?

Mapokezi ya naibu mwenyekiti CCM (Bara)Barakoa zimepuuzwa?

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
Nipo hapa naangalia TV live mapokezi ya makamu mwenyekiti ccm bara, Ndugu Kinana...
kilichonishangaza ni kuwa hakuna hata mjumbe hata mmoja aliyevaa barakoa...hata meza kuu hawajavaa...Sasa ndio wamepuuza uvaaji wa barakoa au mpaka mwenyekiti awepo ndio wanavaa..
 
Nipo hapa naangalia TV live mapokezi ya makamu mwenyekiti ccm bara, Ndugu Kinana...
kilichonishangaza ni kuwa hakuna hata mjumbe hata mmoja aliyevaa barakoa...hata meza kuu hawajavaa...Sasa ndio wamepuuza uvaaji wa barakoa au mpaka mwenyekiti awepo ndio wanavaa..
Acha ujinga tz hakuna Corona

USSR
 
Makongoro anajaribu kumfikishia ujumbe Mkt wao kwa kutumia hekima kubwa ya vile viutaniutani vyake.
 
Lini makongoro aliwai kuwa na hekima??, kuna siku aliuchapa ulevi mpaka akajinyea hadharani uyo mwenye hekima wako.
Makongoro anajaribu kumfikishia ujumbe Mkt wao kwa kutumia hekima kubwa ya vile viutaniutani vyake.
 
Back
Top Bottom