Hii tabia ya kishenzi ndio ilimponza Magufuli hadi akafa.Ukiona harakati za namna hii, ujue kuna jambo kiuongozi haliko sawa. Hivyo kuna makundi ya watu wanahangaika/wanalazimika kumtia moyo mama hata pale anapoharibu au ameshindwa kufikia matarajio ya Watanzania walio wengi
Na mm nakwambia ni muhimu kwasababu sio ufujajiHebu tuambie umuhimu wake ni nini. Usiseme tu kuna umuhimu halafu hauusemi. Mimi nimekuambia sio muhimu kwasababu ni ufujaji
Waswahili kwa akili Kama hizi nchi haitosogea kwa sababu mpk Sasa hivi sijaelewa mama kuupiga mwingi Ni kuongea kingereza uko UN au Kuna agenda nyingine muhimu za kitaifa amefanikisha uko UN?Karibu mama yetu kipenzi umeupigaa mwingi ng'ambo
Kodi inakusanywa ili itumike, hayo ndiyo moja ya matumizi yake, mengine ni kujenga barabara, zahanati, kulipa mishahara, kujenga mashule, kuhakikisha wewe unalindwa mipakani na hapo nyumbani kwako, ukisafiri (kama ni muajiriwa) kukuhakikishia utalala sehemu salama na nzuri na utakula, kumtunza Rais wa nchi na mengineyo..Ni utaratibu uliopo dunia nzima Mjomba!! Hata huko UN walikoenda hao akina Samia wamehudumiwa kwa kodi zilizotolewa na Raia wa nchi nyingine!! Au unataka hiyo Kodi Mwigulu aikalie pale wizarani hadi itage mayai?? TUMIA HELA UPATE HELAGharama ya serikali? Unafahamu kuwa hizo gharama ni kodi wanazonyonywa watanzania?
Hakuna asietaka MH. RAIS apokelewe zifuatwe protocol za kawaida za kumpokea Rais lakini tusiweke sherehe zisizokua na tija zinatugharimu Kama Taifa.Kwa hiyo hutaki tumpokee na kumpongeza Rais wetu au?
Ulitaka apokelewe baba yako au? Pumbavu,haters mtakufa kwa pressure bure..
Mda uliotumia kuandika upupu ungetumia kutafuta pesa usingekuja na malalamiko ya kipumbavu hapa.
Au sio bwashee!Ni jambo jema!
Itakuwa ni hiyo hapo wananzengo tumeinasa....!Mbona hatuonyeshwi ndege aliyo tumia?
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Yaan nchi ngumu hii bas tu 🤣🤣🤣🤣Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Wanasisasa unawaelewa vizuri ama unawasikia tu?Rais hahusiki 100% na kesi zilizoko mahakamani......
Huyohuyo ndiye aliyewaambia POLISI WASIONEE RAIA....
Huyohuyo ndiye aliyesema KESI ZISIZO NA MAANA ZIFUTWE.....
Huyohuyo ndiye aliyemteua Dr.Eliezer Feleshi....muda UTAONGEA.....
Yaani ni ujinga mtupu....hawa waliotoa wazo hili hembu wajitafakari km wana akili timamu au ndio wizi wenyewe wa pesa za umma.....very stupid!Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Duh 🙄 nadhani tunahitaji Katiba mpya haraka sana.