Mapokezi ya Rais

Mapokezi ya Rais

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843
Mkuu wa kikosi cha Jeshi la Wananchi (JWTZ) kabla ya kumpokea mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano alimwambia askari wa kupiga mizinga: Askari, akiwasili mheshimiwa Rais piga mizinga 21ya mapokezi.

Askari: Afande mheshimiwa nitafanya ulivyonituma, lakini nauliza kitu kimoja? kwa mfano mheshimiwa Rais akifa kwa mzinga wa kwanza niendelee kumrushia mizinga iliyobaki 20?
 
Back
Top Bottom