Mapokezi ya Wastara kesho

[emoji23][emoji23] kuna kundi fulani la wendawazimu wanajaribu kutuambukiza uwendawazimu kwa lazima.
Mkuu fafanua kidogo huo uwendawazimu ili tuyazyie hayo maambukizi
 
alete risit za matibabu
maana toka afute ile picha ya cannula iliyogeuzwa hajarudi tena hewani tehe tehe tehe tehe
 
Kubwa jinga Wema na majobless wengine wataongoza mapokezi ,bila msahau Bashite
 
Yule muigizaji wastara anatalajiwa kupokelewa kesho akitokea India kwa matibabu mnaarifiwa mfike kumpokea , soma bandiko

Sisi anatuhusu nini??

Anakuzaje uchumi wa hiyo nchi??
 
Natamani ningekuwepi tz, nione kwa macho yangu,

Haya sasa wale waliokuwa na duku duku juu ya safari ya mwanatasnia, hiyo ndio fursa sasa kwenda kumhoji kutokana na kile kilicho dhaniwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…